Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Habari zenu ze great thinkes!
Je ni tatizo mwanamke kujimwagia pasipo sababu?yaan anapokua ktk shughuli zao. mfano akipiga chafya anajikuta amemwaga,ila sio wakat wote,kama ni tatizo dawa yake ni nini?
Je ni tatizo mwanamke kujimwagia pasipo sababu?yaan anapokua ktk shughuli zao. mfano akipiga chafya anajikuta amemwaga,ila sio wakat wote,kama ni tatizo dawa yake ni nini?