Je, ni taswira gani ujengeka kichwani mwako linapotajwa jina la mwanamke wa JF?

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Kila nikutanapo na majina haya

1. kapeace
Nadhania kichwani kwamba ni mdada wa makamo ambaye ni mrefu si sana ila ana mguu fulani wa bia, ambaye natambua fika kwamba kaolewa na mumewe ndo anafaidi sifa hizi ninazotoa hapa, navuta taswira kwamba ni rangi ya chocolate fulani ivi yaan si mweusi sana wala si mweupe, ana sura ya mvirimngo kwa mbaali,

wakisema niweke na mfano wa picha mi natupia hii hapa kwamba nahisi yuko hivyo,
1152914



2. manengelo
huyu namuona kama kadada fulani hivi si karefu sana lakin kanapenda sana kusuka nywele yaana taswira inanijia hivyo kichwani kabisaaa kwamba haka alafu kana maneno mengi sana ambayo yanachekesha,
rangi yake ni ya kawaida si mweupe sana wala mweusi ni maji ya kunde fulani hivi, alafu kana vi hips kiaina , ni taswira hizo jamani
kwa picha napovuta taswira yake inatokeaga kama ya huyu

1152912


3. Sky Eclat huyu ni mrembo wa zamani kwa sasa kama umri unaenda fulani hivi yaana taswira kupitia michango yake inanituma hivyo kwamba sasa havai tena min skirt wala top yeye anatoka na ngua za wapendwa zaidi na anajiheshimu mnoo

taswira ijayo kichwani mwangu

1152916



4. sasa huyu shunie nadhani ni mtu mwenye kuwa na weledi sana maeneo fulani kama mtu anayetoa sauti kwa kudeka hivi kitu kama hicho, alafu ngozi lainii na mwenye kupenda kujipodoa ,

1152918


5. Demiss huyu Taswira unakuja hivi
IMG-20190504-WA0026.jpg


JE ni jina gani likitajwa la mwanamke hapa unapata taswira kichwani na inakujaje
 
Hao unao wawazia hivo siku ukiwaona unaweza ukatimua mbio.
Ila sisemi kuwa niwabaya sababu siwafaham ila hivi vya kudhania dhania hivi mmh.!
vuta picha namna gani demiss alivyo... na mada zake za migegedo.

Mimi kichwani nimemjenga kama dem flani chibonge wa kati, kimo cha kati yaani si mfupi saana wala mrefu.

rangi yake maji ya kunde, mtu mapepe sana ambaye starehe yake ya kwanze ni kugegedwa. chawote asiyekataa mbele ya fyweza yaani hata cha ten unambandua!...

eti Demiss niko sahihi?
 
Back
Top Bottom