Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
- Thread starter
- #21
mmmh! jamani!! huyo hata boarding hatakaa watamfukuza hawawezi kuvumilia mtoto wa hivyo.
Mtafutieni za day muwe mnamdhibiti wenyewe, huko asije hata akaanza "mchezo mchafu"
Kweli mwaya na Shule nyingi hawachukui mtoto Mwenye umri mkubwa hivyo wanasema anaweza kiharibu watoto wa Watu, wanasema wanachukua watoto kuanzia miaka 5 nakuendelea imagine, Ila nimesema nijaribu kuuliza humu labda nitapata kujua Kama kuna Shule wanaweza kumkubali nitashukuru sana aisee