Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
Mada inajieleza.
Hivi kama unadaiwa bill, na bahati mbaya uko kwenye mchakato wa kulipa, ni sheria IPI inayowapa mamlaka ya maji kuja kukata maji na kuchukua mita bila mtu yeyote kuwepo na mita ipo ndani ya geti na mlango umefungwa!!!!
Hivi nikiwafungilia kosa la wizi au uvamizi ni kosa?
Hivi kama unadaiwa bill, na bahati mbaya uko kwenye mchakato wa kulipa, ni sheria IPI inayowapa mamlaka ya maji kuja kukata maji na kuchukua mita bila mtu yeyote kuwepo na mita ipo ndani ya geti na mlango umefungwa!!!!
Hivi nikiwafungilia kosa la wizi au uvamizi ni kosa?