La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,040
- 1,136
Helo good people!Natumai nyote ni wazima,kwa wagonjwa na wenye majanga poleni Mungu awatie nguvu..
Guys,je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie especially kwa msg kuwa i love you so much?
Je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie...wow una kucha nzuri au una midomo mizuri?
Je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie,nimekumiss nimekupigia simu mara tatu mfululizo hupokei jamani mpaka roho inaniuma?
Je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie ni kwa nini unanipenda?
Je ni sawa mwanaume kumwambi mwanaume mwenzio kuwa hapo kati sasa kumenoga?
Hebu wanaume nisaidie katika hili..kuna mtu amegundua mmewe anachati na mwanume mwenzie msg za mrengo huo na amechanganyikiwa sana...!
Guys,je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie especially kwa msg kuwa i love you so much?
Je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie...wow una kucha nzuri au una midomo mizuri?
Je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie,nimekumiss nimekupigia simu mara tatu mfululizo hupokei jamani mpaka roho inaniuma?
Je ni sawa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzie ni kwa nini unanipenda?
Je ni sawa mwanaume kumwambi mwanaume mwenzio kuwa hapo kati sasa kumenoga?
Hebu wanaume nisaidie katika hili..kuna mtu amegundua mmewe anachati na mwanume mwenzie msg za mrengo huo na amechanganyikiwa sana...!