Naishi na binti mmoja hivi alishawahi kuwa na mahusiano sasa lakini cha kushangaza kila nikimuuliza ilikuaje mpaka wakaachana na mshkaji hataki kuniambia.
Kwa upande wangu sijapenda na isitoshe tunataka tuoane ijapokuwa hatujapanga mwezi upi. Kweli wakuu kutakuwa na ndoa hapa au watu wakiwa katika mahusiano wanafichana maana kila nikimuuliza kuhusiana na breakdown yake hataki kuniambia.
Mwenyewe anavyodai ananipenda tena sana Ila kuhusu hilo hatoniambia nimsamehe tu. Je mnavyoona huyu binti atakuwa na upendo wa dhati na ananificha nini.
Naombeni mnisaidie wakuu hapo kwa kweli nipo njia panda. .
Kwa upande wangu sijapenda na isitoshe tunataka tuoane ijapokuwa hatujapanga mwezi upi. Kweli wakuu kutakuwa na ndoa hapa au watu wakiwa katika mahusiano wanafichana maana kila nikimuuliza kuhusiana na breakdown yake hataki kuniambia.
Mwenyewe anavyodai ananipenda tena sana Ila kuhusu hilo hatoniambia nimsamehe tu. Je mnavyoona huyu binti atakuwa na upendo wa dhati na ananificha nini.
Naombeni mnisaidie wakuu hapo kwa kweli nipo njia panda. .