Je,ni sawa kwenye ajali tunapewa taarifa za yule anaeuza zaidi headlines?

Binti1

JF-Expert Member
Jul 8, 2013
662
1,745
Kwanza nitangulie kutoa pole za dhati kwa familia, ndugu na marafiki waliopatwa na msiba wa ndugu zetu walofariki kwa ajali ya ndege jana Serengeti.Ni pigo kubwa kupoteza vijana wadogo ambao ndio kwanza wanaanza kuchipua.

Mungu awafariji wote na awape nguvu wafiwa katika kipindi hiki kigumu.

Nime "observe" kwa muda sasa ,yanapotokea majanga ya ajali zihusishazo watu wanaojulikana au wenye ukaribu na watu wanaojulikana namna waandishi wanavyoripoti tukio hilo.

Kama hii ajali ya jana Centre of attention imekuwa familia ya Mabeyo ambayo imepoteza kijana aliyekua rubani wa ndege husika.

Waandishi wamehamisha attention yote huko kwenye magazeti ,mitandao na hata taarifa ya habari (jana ITV).Tukumbuke kwenye ajali hii wamepoteza maisha watu wawili ,je huyo wa pili waandishi hawaoni haja ya kumuongolea??Viongozi wamefika kwa Mabeyo kutoa salamu za pole,je huyu mwengine familia yake haistahili haya?

Hata kama ni raia wa nje (bado sijafahamu) naona kama angepewa heshima stahiki hata kupitia ubalozi wake.Kwanini vyombo vya habari vime base upande mmoja tu?

Niliona kua mwili wa kijana yule usafirishwa kwa ndege kupelekwa Dar kwaa taratibu zinazofuata...huyu mwingine je?

Sio tukio hili tu majuzi kwenye msiba wa Azam tulionyeshwa zaidi upande wa waandishi ila naamini kulikua na madereva ama labda na waadhirika wengine, je hakustahili attention kama ya hawa marehemu wenzao?

Haya mambo yamenifikirisha sana.

Sijui kama nina "overthink "ama nina "over react" ila natamani yanapotokea haya tuwape attention sawa kwani wote ni marehemu na familia zote zimeguswa kwanamna moja .
 
Mkuu unadhani kwann msiba wa Kanumba ulizungumzwa zaidi kuliko wa babu wa kule nanjilinji ?
 
Walikufa kwenye tukio moja ?Wote walisukumwa na Lulu wakafa?
Hapa naongelea itokee ajali alafu awepo mtu maarufu na na mwananchi asie maarufu kama Binti1 ,waandishi wanahulka ya kuripoti na kumpa coverage huyu marehemu aliekua maarufu huyu mwingine wala hutajua sana
Mkuu unadhani kwann msiba wa Kanumba ulizungumzwa zaidi kuliko wa babu wa kule nanjilinji ?
 
Misiba Mingi Tunajisahau
Tazama Ule Wa Azam Media
Walikuwa Wengi Sana Ila Wengine Wakasahaulika
 
Wakati mwingine anakufa kwa ajali ya ndege anayoiendesha,mwingine anakufa kwa kuiba mafuta kwenye roli.
Samahani niko nje ya mada.
 
Kwanza nitangulie kutoa pole za dhati kwa familia, ndugu na marafiki waliopatwa na msiba wa ndugu zetu walofariki kwa ajali ya ndege jana Serengeti.Ni pigo kubwa kupoteza vijana wadogo ambao ndio kwanza wanaanza kuchipua.

Mungu awafariji wote na awape nguvu wafiwa katika kipindi hiki kigumu.

Nime "observe" kwa muda sasa ,yanapotokea majanga ya ajali zihusishazo watu wanaojulikana au wenye ukaribu na watu wanaojulikana namna waandishi wanavyoripoti tukio hilo.

Kama hii ajali ya jana Centre of attention imekuwa familia ya Mabeyo ambayo imepoteza kijana aliyekua rubani wa ndege husika.

Waandishi wamehamisha attention yote huko kwenye magazeti ,mitandao na hata taarifa ya habari (jana ITV).Tukumbuke kwenye ajali hii wamepoteza maisha watu wawili ,je huyo wa pili waandishi hawaoni haja ya kumuongolea??Viongozi wamefika kwa Mabeyo kutoa salamu za pole,je huyu mwengine familia yake haistahili haya?

Hata kama ni raia wa nje (bado sijafahamu) naona kama angepewa heshima stahiki hata kupitia ubalozi wake.Kwanini vyombo vya habari vime base upande mmoja tu?

Niliona kua mwili wa kijana yule usafirishwa kwa ndege kupelekwa Dar kwaa taratibu zinazofuata...huyu mwingine je?

Sio tukio hili tu majuzi kwenye msiba wa Azam tulionyeshwa zaidi upande wa waandishi ila naamini kulikua na madereva ama labda na waadhirika wengine, je hakustahili attention kama ya hawa marehemu wenzao?

Haya mambo yamenifikirisha sana.

Sijui kama nina "overthink "ama nina "over react" ila natamani yanapotokea haya tuwape attention sawa kwani wote ni marehemu na familia zote zimeguswa kwanamna moja .
Hata mimi hili lilinifikirisha sana jana ndugu,ni kama ajali ilikuwa na marehemu mmoja. Hata helkopta ya kijeshi iliyoenda kuuchukua mwili wa marehemu anayezungumziwa Zaidi taarifa zilizotoka ni kwamba mwili wa marehemu asiyezungumziwa Zaidi utachukuliwa na ndege itakayokuja kufanya uchunguzi wa ajali ilivyotokea. Kwa nini wasingechukua miili yote kuisitiri,then uchunguzi uje kufanyika baadae
 
Kama huna kitu chochote cha kuwafanya watu wakuongeleee basi hakuna atakayekuongelea just imagine wewe Dada Mimi sikufahamu kwa sura hata sijui mjini unafanya inshu gani sasa ntakuongelea kwa kipi? Huimbi mziki,huigizi,sio kiongozi,sio mwanasiasa,ntaongea nn kuhusu we?
 
Hata mimi hili lilinifikirisha sana jana ndugu,ni kama ajali ilikuwa na marehemu mmoja. Hata helkopta ya kijeshi iliyoenda kuuchukua mwili wa marehemu anayezungumziwa Zaidi taarifa zilizotoka ni kwamba mwili wa marehemu asiyezungumziwa Zaidi utachukuliwa na ndege itakayokuja kufanya uchunguzi wa ajali ilivyotokea. Kwa nini wasingechukua miili yote kuisitiri,then uchunguzi uje kufanyika baadae
Status: Hii ndo tofauti kati ya hao wawili.
 
Ndivyo dunia ilivyo. Mtu maarifu huzungumzwa na kuoewa habari za zaidi ya wengine. Samora Marcel alipokufa kwa ajali ya ndege ungedhani ndege alikuwa anaedesha mwenyewe. Lakini kumbe walikufa zaidi ya watu 20. Sasa kama Mabeyo ndio maarufu atatazngulizwa huyo tu kuzungumziwa.
 
Binti hujakua tu
Nchi ina wenyew hii bila kumpa coverage huyo kijana utauzaje sana ilo gazeti
Kwanza nitangulie kutoa pole za dhati kwa familia, ndugu na marafiki waliopatwa na msiba wa ndugu zetu walofariki kwa ajali ya ndege jana Serengeti.Ni pigo kubwa kupoteza vijana wadogo ambao ndio kwanza wanaanza kuchipua.

Mungu awafariji wote na awape nguvu wafiwa katika kipindi hiki kigumu.

Nime "observe" kwa muda sasa ,yanapotokea majanga ya ajali zihusishazo watu wanaojulikana au wenye ukaribu na watu wanaojulikana namna waandishi wanavyoripoti tukio hilo.

Kama hii ajali ya jana Centre of attention imekuwa familia ya Mabeyo ambayo imepoteza kijana aliyekua rubani wa ndege husika.

Waandishi wamehamisha attention yote huko kwenye magazeti ,mitandao na hata taarifa ya habari (jana ITV).Tukumbuke kwenye ajali hii wamepoteza maisha watu wawili ,je huyo wa pili waandishi hawaoni haja ya kumuongolea??Viongozi wamefika kwa Mabeyo kutoa salamu za pole,je huyu mwengine familia yake haistahili haya?

Hata kama ni raia wa nje (bado sijafahamu) naona kama angepewa heshima stahiki hata kupitia ubalozi wake.Kwanini vyombo vya habari vime base upande mmoja tu?

Niliona kua mwili wa kijana yule usafirishwa kwa ndege kupelekwa Dar kwaa taratibu zinazofuata...huyu mwingine je?

Sio tukio hili tu majuzi kwenye msiba wa Azam tulionyeshwa zaidi upande wa waandishi ila naamini kulikua na madereva ama labda na waadhirika wengine, je hakustahili attention kama ya hawa marehemu wenzao?

Haya mambo yamenifikirisha sana.

Sijui kama nina "overthink "ama nina "over react" ila natamani yanapotokea haya tuwape attention sawa kwani wote ni marehemu na familia zote zimeguswa kwanamna moja .
 
Kama huna kitu chochote cha kuwafanya watu wakuongeleee basi hakuna atakayekuongelea just imagine wewe Dada Mimi sikufahamu kwa sura hata sijui mjini unafanya inshu gani sasa ntakuongelea kwa kipi? Huimbi mziki,huigizi,sio kiongozi,sio mwanasiasa,ntaongea nn kuhusu we?
 
Magazeti yako kibiashara zaidi.Pia umesahau ile methalì isemayo mkono mtupu haulambwi.Pia aliye nacho huongezewa.
Haya mambo ni ya kidunia tuyaache yalivyo huko kwa mungu hakuna mtu maarufu.
Umesema vyema Meko
 
Back
Top Bottom