Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,429
- 2,713
Ni matumaini yangu basi wadau wenzangu wa Elimu mko salama kabisa!.
Kama kichwa cha uzi kinavyouliza, nimeshangazwa sana na haya mabadiliko ya kiteknlojia katika elimu, kitu ambacho kimepelekea wanafunzi wa kidato cha nne kuruhusiwa kutumia vikokotozi katika mitihani yao. Nakumbuka miaka ya nyuma vikokotozi viliruhusiwa tu kutumika kwa wanafunzi kuanzia kidato cha tano.
Hali hiyo, ilitufanya watu wengi akili zetu kuwa active, kwani hesabu ndogo ndogo tulizipiga kwa kutumia vichwa vyetu. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana juu ya sababu za kuwaruhusu wanafunzi wa kidato cha nne watumie calculators pasipo majibu.
Je, ni sawa kwa wadogo zetu kuruhusiwa kutumia calculators ? Na je kuna faida zipi kwa wao kuruhusiwa ?
Kama kichwa cha uzi kinavyouliza, nimeshangazwa sana na haya mabadiliko ya kiteknlojia katika elimu, kitu ambacho kimepelekea wanafunzi wa kidato cha nne kuruhusiwa kutumia vikokotozi katika mitihani yao. Nakumbuka miaka ya nyuma vikokotozi viliruhusiwa tu kutumika kwa wanafunzi kuanzia kidato cha tano.
Hali hiyo, ilitufanya watu wengi akili zetu kuwa active, kwani hesabu ndogo ndogo tulizipiga kwa kutumia vichwa vyetu. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana juu ya sababu za kuwaruhusu wanafunzi wa kidato cha nne watumie calculators pasipo majibu.
Je, ni sawa kwa wadogo zetu kuruhusiwa kutumia calculators ? Na je kuna faida zipi kwa wao kuruhusiwa ?