Nilitaka kusema neno kuhusu shangazi lakini asante roho mtakatifu kwa kunifundisha kunyamaza....
Mimi hata kuchangia huu uzi nimeshindwa.
Nilitaka kusema neno kuhusu shangazi lakini asante roho mtakatifu kwa kunifundisha kunyamaza....
Kama wapo comfortable kuongea mambo hayo mbele yako je wakiwa peke yao huwa wanaongea nini?Sure, mazoea hayo bora angeyaelekezea kwa mjomba .
Naogopa kuwaza wanachoweza kuongea kwa kweli.Kama wapo comfortable kuongea mambo hayo mbele yako je wakiwa peke yao huwa wanaongea nini?
Mkuu nakuunga mkono wanakulana na kama bado basi ni swala la muda tuTrust me,atakuja kumla tu huyo shangazi yake kimasihara.
Heeeeh hatareeh sasa lolNdo hivo kuna watu wanamazoea ya ajabu sana na ndugu zao wa kuheshimiana.
Kwa mtoto wa kike kupiga stori za undani na shangazi yake haileti ukakasi, shida inakuja kwa mtoto wa kiume na shangazi yake.Ex wangu mmoja yuko umri sawa na shangazi yake na wamefanana kiasi nikawa najua ni mtu na dada yake.
Ex ni mtoto wa ujanani wa mzee na huyu shangazi ni mtoto wa mwisho katika familia ya baba yake. Ex na Shangazi walizaliwa mwaka sawa. Na hata ex na wadogo zake huyu shangazi wamezoea kumuita dada.
Na ilikua inatumika simu ya shangazi kumfukuzia ex, kumpata na miadi. I think hizo stori wamepiga sana na wanaendelea kupiga
Umeona eeh, tutaishi kwa kuchukuliana poa sana hapo baadae.Heeeeh hatareeh sasa lol
Mazoea ya namna yanawezaga yakawa zaidi ya stori hasa ukikuta kama ni watu wa kupiga vyombo.Si ajabu Messi anatembea hata na shangaz ake