jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
hii ndoa jamani inafungwa 'online' yaani hapo hata uyo bwa harusi yuko bize, wote wanakula kiapo cha shida na raha...lol....mambo ya mtandao hayo wakuu...nothing wrong with that...lol.....
View attachment 69165
Mabinti wa siku hizi wakiwa kanisani wakat wa kufunga ndoa,wanakuwa bize na simu wakichat facebook na mitandao mingine ya kijamii,badala ya kusikiliza nini kinaendelea,mi nawaomba mabinti wenye hii tabia muache ningekuwa mimi ningemchapa kibao uyo binti apo