uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,075
Dawa ya moto ni moto mkuuSi sawa.lakini bado kuna namna ya kumwambia sio kutukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya moto ni moto mkuuSi sawa.lakini bado kuna namna ya kumwambia sio kutukana
Sio kila mtu kichaaDawa ya moto ni moto mkuu
Tukumbushe tusi moja alilotukanwa huenda kukosoa ndo mnaita matusiHakuna anayesema msikosoe, mimi nimesema msimtukane wala kumtweza kiongozi
Hiv heshima ipi unataka aipate au unataka tumuabudu?Mimi sina tatizo na maneno yako kwangu.mimi ni ndg yako sote watanzania ila ninachosema tumpee heshima rais
Vipi mzazi akimdhihaki na kumdharau mtoto? Respect must be reciprocal!Kudhihaki mtu yoyote ni kumdharau hata mtoto akidhihaki mzazi ujue anamapungufu na hana adabu hivyo anastahili kufunzwa na kushikishwa adabu kwa adhabu..
Jukwaani walisema mamvi kajinyea bd unataka ww usidhihakiwe kuna wakati tunatakiwa tukubali tuende sawa bhanaTatizo Matusi na dhihaka ni sehemu ya utamaduni wetu wa Kitanzania.
Kwenye majukwaa ya kisiasa huko matusi na dhihaka ni kama kawaida. Wakati wa kampeni 2015 matusi ma dhihaka zilitawala uchaguzi .... Kuna watu walidiriki kusema mbele ya jukwaa kuwa hawatapeleka MAITI Ikulu sasa unategemea leo matusi na dhihaka zitajifutikia tu kwa vile uchaguzi umeisha............!!?
Humu jukwaani watu wanatembeza matusi ......... kila second comment kuna tusi au dhihaka!!
Mungu alikuwa na kadi yakupiga kura au?Wala simsingizii Mungu nina u shahidi wa maandishi na ndio maana nilitoa taadhari
Dhihaka, matusi na kejeli kazianza yeye wacha watu wampe za uso! Tushachoka bwana.Kuna namna bora na yenye staha ya kumweleza kiongozi.sio matusi na kejeli.
Nahisi maombi bd hayajibiwi mjitahidi kumwombea basiBusara ya kawaida kabisa inakutaka kunyamaza.mimi nimemwelewa sana Mh Rais pale alipoomba aombewe kwa Mwenyezi Mungu.anajua yeye ni mwanadamu anamapungufu anaomba tumwombee ili Mwenyezi Mungu amsaidie aongoze vyema.
Aliyetamka ni nani? Naww unajuaje kama tunamaana tofauti na yakeRais Magufuli si Kichaa kwa maana ya ugonjwa.Tuwe waangalifu sana na hayo maneno.
SAWA ILA NAE LAZIMA AWE NA HESHIMA SIYO ANAKUWA KIBURI!!!!!!!Ombi langu kwenu wote tunapaswa kumheshimu na kumsaidia ili atuongoze mpaka muda wake utakapokwisha.Kumbukeni anaweza akawa amekosea kwa mtizamo wako lakini kwa maslahi mapana ya nchi anapaswa kuungwa mkono.
Hata kichaa huwa anakuona ww ni kichaaSio kila mtu kichaa
HAYO YOTE BILA KUWA NA DEMOKRASIA NI KAZI BURE KABISA!!!!!!!Magufuli anajenga Reli ambayo itakuwepo kwa miaka mingi ijayo,si kwa manufaa yake bali kwa manufaa ya nchi,Magufuli anajenga miundombinu mikubwa ya kuzalisha umeme ambayo itakuwepo miaka mingi hata baada ya yeye kuondoka lakini kwa ajili ya nchi.Pale ambapo tunahisi Mh amekosea ni vyema kutumia lugha ya staha na heshima.tuepuke matusi.N
Mimi najizuia sana kutokutoka kwenye Mada. Demokrasia ni Pana sana.inategemea una mtizamo upi.Ikumbukwe katika nchi zetu hizi.kiongozi wa nchi ndio anatoa mwelekeo wa demokrasia au Aina ya utawala anaotaka.Na hakuna anaeweza kumshitaki kwa hiyo turudi tu kwenye Mada ambayo inaomba tuwe na heshima na staha kwa kiongozi wetuHAYO YOTE BILA KUWA NA DEMOKRASIA NI KAZI BURE KABISA!!!!!!!