Katika jamii yeyote ya watu wanaoheshimu utu na kustarabika.Jamii ya watu wanaopenda watoto wao wawe watu wa heshimu,ni lazima kujenga desturi ya kuheshimiana.kuna tabia inaanza kujengeka ya baadhi yetu kudhani kuwa unapomtukana kiongozi unapata sifa,lakini swali la kujiuliza ikiwa ungekuwa wewe ndio unafanyiwa hivyo ungefurahi.
Nchi zetu hizi zinaongozwa na wanadamu ambao si wakamilifu,kama tutaamua tu kuangalia mabaya ya viongozi wetu tutayaona lakini je hakuna mazuri yanayoweza kutufanya tuone umuhimu wa kuwaheshimu.maandiko matakatifu yanatuonya kuwaheshimu viongozi wetu kwa sababu wamewekwa na Mungu kwa makusudi yake mwenyewe.
Magufuli alipokwenda kuchukua form ya kuomba kugombea Urais wengi wetu tulimchukulia tu kama msindikizaji LAKINI MUNGU alimchagua ndio awe kiongozi wetu.
Ombi langu kwenu wote tunapaswa kumheshimu na kumsaidia ili atuongoze mpaka muda wake utakapokwisha.Kumbukeni anaweza akawa amekosea kwa mtizamo wako lakini kwa maslahi mapana ya nchi anapaswa kuungwa mkono.
Magufuli anajenga Reli ambayo itakuwepo kwa miaka mingi ijayo,si kwa manufaa yake bali kwa manufaa ya nchi,Magufuli anajenga miundombinu mikubwa ya kuzalisha umeme ambayo itakuwepo miaka mingi hata baada ya yeye kuondoka lakini kwa ajili ya nchi.Pale ambapo tunahisi Mh amekosea ni vyema kutumia lugha ya staha na heshima.tuepuke matusi.N
atoa taadhari kwa wote,ni muhimu kuzingatia.kwa kuwa Mh Rais ni mtiwa mafuta kwa Bwana ni kosa na dhambi kwa Mungu kumnenea mabaya,kumtukana hata kumtweza,yeyote anayefanya hayo atakutana na mkono wa Mungu aliyemweka pale. Awe ni mdhaifu au awe na tatizo lolote hatupaswai kumnenea mabaya wala kumnyoshea kidole.unapofanya hivyo actually unamfanyia Mungu aliyeruhusu awepo hapo.
Adhabu yake huwa mbaya inakwenda mpaka kizazi cha nne.ONYO JIEPUSHENI NA DHAMBI HIYO YA KUMNENEA MABAYA MPAKWA MAFUTA WA BWANA.
Nchi zetu hizi zinaongozwa na wanadamu ambao si wakamilifu,kama tutaamua tu kuangalia mabaya ya viongozi wetu tutayaona lakini je hakuna mazuri yanayoweza kutufanya tuone umuhimu wa kuwaheshimu.maandiko matakatifu yanatuonya kuwaheshimu viongozi wetu kwa sababu wamewekwa na Mungu kwa makusudi yake mwenyewe.
Magufuli alipokwenda kuchukua form ya kuomba kugombea Urais wengi wetu tulimchukulia tu kama msindikizaji LAKINI MUNGU alimchagua ndio awe kiongozi wetu.
Ombi langu kwenu wote tunapaswa kumheshimu na kumsaidia ili atuongoze mpaka muda wake utakapokwisha.Kumbukeni anaweza akawa amekosea kwa mtizamo wako lakini kwa maslahi mapana ya nchi anapaswa kuungwa mkono.
Magufuli anajenga Reli ambayo itakuwepo kwa miaka mingi ijayo,si kwa manufaa yake bali kwa manufaa ya nchi,Magufuli anajenga miundombinu mikubwa ya kuzalisha umeme ambayo itakuwepo miaka mingi hata baada ya yeye kuondoka lakini kwa ajili ya nchi.Pale ambapo tunahisi Mh amekosea ni vyema kutumia lugha ya staha na heshima.tuepuke matusi.N
atoa taadhari kwa wote,ni muhimu kuzingatia.kwa kuwa Mh Rais ni mtiwa mafuta kwa Bwana ni kosa na dhambi kwa Mungu kumnenea mabaya,kumtukana hata kumtweza,yeyote anayefanya hayo atakutana na mkono wa Mungu aliyemweka pale. Awe ni mdhaifu au awe na tatizo lolote hatupaswai kumnenea mabaya wala kumnyoshea kidole.unapofanya hivyo actually unamfanyia Mungu aliyeruhusu awepo hapo.
Adhabu yake huwa mbaya inakwenda mpaka kizazi cha nne.ONYO JIEPUSHENI NA DHAMBI HIYO YA KUMNENEA MABAYA MPAKWA MAFUTA WA BWANA.