Ni sahii mkeo kukaa nawe mkao wa kimapenzi mkiwa sebuleni mbele ya shemeji yake. Haina madhara yoyote kimaadili?
Sahihi au sio sahihi kutokana na maadili ya jamii husikaNi sahii mkeo kukaa nawe mkao wa kimapenzi mkiwa sebuleni mbele ya shemeji yake. Haina madhara yoyote kimaadili?
Anavaa kanga moko bila niniliu ndani halafu mguu mmoja anaweka mapajani kwa mumeweAmekaaje kwani?
Hii ni dalili kwamba wamekuchoka hapo nyumbani. Tafuta kazi uondoke hapo kwa shemeji ukajitegemee kaka.Anavaa kanga moko bila niniliu ndani halafu mguu mmoja anaweka mapajani kwa mumewe
Mwambie akavae nguo na mkae vizuriAnavaa kanga moko bila niniliu ndani halafu mguu mmoja anaweka mapajani kwa mumewe