Je, ni sahihi wanafunzi wa shule za msingi kufyatua tofali kwa ajili ya matumizi ya shule?

hito

JF-Expert Member
Jul 11, 2018
501
913
Katika pilikapilika za kutafuta maisha nane nane ya jana nimepita sehemu wilaya ya kaliua Tabora Mkurungenzi katoa amri kila mwanafunzi kuanzia darasa la nne lazima wafyatue tofari

Je, ni sahihi analofanya Mkurungezi ameshindwa kuwashawishi wazazi hadi kaamua kutumia watoto

Najua wilaya ya kaliua ina chagamoto ya vyumba vya madarasa mpaka wanafunzi wengine wanasomea chini ya miti lakini kutumia wanafunzi kufyatua tofari hii haijakaa sawa kabisa
 
katika pilika pilika za kutafuta maisha nane nane ya jana nimepita sehemu wilaya ya kaliua tabora mkurungenzi katoa amri kila
mwanafunzi kuanzia darasa la nne lazima wafyatue tofari
je ni sahihi analo fanya mkurungezi ameshindwa kuwashawishi wazazi hadi kaamua kutumia watoto
najua wilaya ya kaliua ina chagamoto ya vyumba vya madarasa mpaka wanafunzi wengine wanasomea chini ya miti lakini kutumia wanafunzi kufyatua tofari hii haijakaa sawa kabisa
Wacha ujinga wewe. Ndiyo maana mpaka unamaliza chuo kikuu hujui kupika wala kufua.Tofali anazotaka mkurugenzi ni zile za kuchoma ambazo kufyatua kwake kupo kwa mtindo wa moja au mbili uzito upo kati ya 5kg hadi kumi. sasa mwanafunzi atashindwa kufyatua tofali kumi? Watu wasipewe elimu ya kujitegemea ?Au ndyo unataka waendelee kutafuta thamani ya x.Ni ajabu sana main power unayo halafu huna madarasa.Fundisha kizazi elimu ya kujitegemea pia shule nayo ifaidike .Nakumbuka nikiwa na miaka kumi tukiwa shule tulifyatua tofali zikatumika kujenga Choo cha shule na Ofisi ya Walimu kila nikipita shule ya msingi ile najivunia kazi ya mikono yangu .Pia tulijifunza kilimo na ndiyo hicho kilimo kinafanya natumia smart phone kukujibu wewe Mtoto wa elimu Mdebwedo.Tulijifunza elimu kwa vitendo na tukawa imara kichwani Imara Darasani.Mungu ambariki Mkurugenzi kwa kuona mbali Hapo ndipo utakapojua tofauti Statemen na Politician.Statemen thinks about next generation na Politician thinks about next election.Acha porojo/siasa hovyo/kufundisha utegemezi kwenye elimu .
 
Akili za vijana wa siku hizi ni za ajabu sana. Yaani wanafunzi kupewa kazi kidogo shuleni nayo imekuwa hoja? Hili taifa litajengwa na watu imara kimtazamo na kimaungo pia, sio matoto nyolo nyolo kiasi hujui wa kike yupi wa kiume yupi

Mkurugenzi yupo sahihi
 
Katika pilikapilika za kutafuta maisha nane nane ya jana nimepita sehemu wilaya ya kaliua Tabora Mkurungenzi katoa amri kila mwanafunzi kuanzia darasa la nne lazima wafyatue tofari

Je, ni sahihi analofanya Mkurungezi ameshindwa kuwashawishi wazazi hadi kaamua kutumia watoto

Najua wilaya ya kaliua ina chagamoto ya vyumba vya madarasa mpaka wanafunzi wengine wanasomea chini ya miti lakini kutumia wanafunzi kufyatua tofari hii haijakaa sawa kabisa

Kufyatua tofali si tatizo. Hiyo ni mojawapo ya stadi za kazi wanazofundishwa ili waweze kujitegemea (Elimu ya kujitegemea)
Tatizo litajitokeza tu pale ambapo mfumo uliotumika si rafiki.
 
Mkuu uko serious au kwa kuwa hao walio amlishwa wafyatue tofali sio watoto wako,mtoto wa darasani la nne afyatue tofali haya ni maajabu.
Wewe ndio ambaye hauko serious na ndio maana kukaa kwote shuleni bado hukujifunza hata kuandika. Watoto watajifunza wapi na lini kufanya kazi ndogo ndogo za mikono?

Kiswahili sahihi ni AMRISHWA na sio amlishwa. Na kwa nini ufikiri kuwa waliamrishwa na si kwamba walihamasishwa?
 
We did worse than that in the 90s. Tulilima mashamba ya watu, tulifyeka nyasi za kuezekea nyumba za watu, tulipeleka kuni za kuuza shule and a lot of odd jobs. Ilitufunza ukakamavu na elimu ya kujitegemea. Though nashauri wasi-overdo
 
Wanasiasa wapo bungeni wanainuka nakusema watoto wasichapwe, wazazi mkiletewa barua za kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu au madarasa mnakuja zipublish hapa JF nakusema mnachangishwa unategemea kipi kifanyike nikutumia hiyo hiyo nguvu kazi iliyopo eneo husika

Tena ikiwezekana hata nguo za walimu wafue yani wanafunzi wakike wafue nguo za mamadam alafu wakiume wafue nguo za masir wao ili kuwajenga hawa watoto wapo rege rege sana
 
Wacha ujinga wewe. Ndiyo maana mpaka unamaliza chuo kikuu hujui kupika wala kufua.Tofali anazotaka mkurugenzi ni zile za kuchoma ambazo kufyatua kwake kupo kwa mtindo wa moja au mbili uzito upo kati ya 5kg hadi kumi. sasa mwanafunzi atashindwa kufyatua tofali kumi? Watu wasipewe elimu ya kujitegemea ?Au ndyo unataka waendelee kutafuta thamani ya x.Ni ajabu sana main power unayo halafu huna madarasa.Fundisha kizazi elimu ya kujitegemea pia shule nayo ifaidike .Nakumbuka nikiwa na miaka kumi tukiwa shule tulifyatua tofali zikatumika kujenga Choo cha shule na Ofisi ya Walimu kila nikipita shule ya msingi ile najivunia kazi ya mikono yangu .Pia tulijifunza kilimo na ndiyo hicho kilimo kinafanya natumia smart phone kukujibu wewe Mtoto wa elimu Mdebwedo.Tulijifunza elimu kwa vitendo na tukawa imara kichwani Imara Darasani.Mungu ambariki Mkurugenzi kwa kuona mbali Hapo ndipo utakapojua tofauti Statemen na Politician.Statemen thinks about next generation na Politician thinks about next election.Acha porojo/siasa hovyo/kufundisha utegemezi kwenye elimu .
Upo sawa mkuu,wafundishwe kufyatua,wapewe idadi kulingana na uwezo wao,kesho na kesho kutwa watakuwa na ujuzi na uwezo wa kazi mbalimbali
 
Doh.. umenikumbusha enzi darasa la pili tunabeba matofali 2 au 3 kichwani kutoka yalipochomewa kwenda shule(distance 2.5km).. shingo "linacrack' ta ta ta...
Ila halivunjiki
 
Wewe ni baadhi ya vijana wa kizazi hiki mnaoaibisha hili taifa.
Suala kama hilo nalo ni la kuuliza usahihi wake?
Wewe utakuwa umezoea maisha ya kuomba omba maana suala la kujitegemea inaonekana kwako kuwa Changamoto.
 
Wacha ujinga wewe. Ndiyo maana mpaka unamaliza chuo kikuu hujui kupika wala kufua.Tofali anazotaka mkurugenzi ni zile za kuchoma ambazo kufyatua kwake kupo kwa mtindo wa moja au mbili uzito upo kati ya 5kg hadi kumi. sasa mwanafunzi atashindwa kufyatua tofali kumi? Watu wasipewe elimu ya kujitegemea ?Au ndyo unataka waendelee kutafuta thamani ya x.Ni ajabu sana main power unayo halafu huna madarasa.Fundisha kizazi elimu ya kujitegemea pia shule nayo ifaidike .Nakumbuka nikiwa na miaka kumi tukiwa shule tulifyatua tofali zikatumika kujenga Choo cha shule na Ofisi ya Walimu kila nikipita shule ya msingi ile najivunia kazi ya mikono yangu .Pia tulijifunza kilimo na ndiyo hicho kilimo kinafanya natumia smart phone kukujibu wewe Mtoto wa elimu Mdebwedo.Tulijifunza elimu kwa vitendo na tukawa imara kichwani Imara Darasani.Mungu ambariki Mkurugenzi kwa kuona mbali Hapo ndipo utakapojua tofauti Statemen na Politician.Statemen thinks about next generation na Politician thinks about next election.Acha porojo/siasa hovyo/kufundisha utegemezi kwenye elimu .
mzee baba mbona umejaa nyembe hivyo kwani mi nimeandika kwa nia mbaya au nilitaka kujua je ni halali naona umetoa povu lote
 
Wewe ni baadhi ya vijana wa kizazi hiki mnaoaibisha hili taifa.
Suala kama hilo nalo ni la kuuliza usahihi wake?
Wewe utakuwa umezoea maisha ya kuomba omba maana suala la kujitegemea inaonekana kwako kuwa Changamoto.
uko sahihi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom