Je, ni sahihi mpwa kuwa paymaster general wa Serikali?

Kama anasifa hizo hakua tatizo. Zile Ids nyingi za jF kipindi cha uongozi wa nchi awamu 4 ambazo zilikuwa pro government na kuitetea hapa jF kipindi cha awamu ya 5 zimekuwa agaist goverment na kuipinga kwa kuihujumu.. Wahusika mshalichunguza hili ukajiridhisha na mkajua sababu ni nini?
 
Wadau, malalamiko ni mengi kila kona ya nchi. Hii pia imechagizwa na bwana Doto James, mpwa wa Mhe. Rais kuwa paymaster general wa serikali (Katibu Mkuu Wizara ya Fedha). Hata kama ingekuwa anastahili kitaaluma na uzoefu (japo kuna mashaka) lakini kimaadili hili limekaaje?
Jiandae kupimwa mikojo. Malaika hawahojiwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau, malalamiko ni mengi kila kona ya nchi. Hii pia imechagizwa na bwana Doto James, mpwa wa Mhe. Rais kuwa paymaster general wa serikali (Katibu Mkuu Wizara ya Fedha). Hata kama ingekuwa anastahili kitaaluma na uzoefu (japo kuna mashaka) lakini kimaadili hili limekaaje?
Anzeni na mbowe kuwa signatory wa ruzuku ya chadema..hivi mlishamaliza kumlipa deni lake la billion 700 alilowakopesha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau, malalamiko ni mengi kila kona ya nchi. Hii pia imechagizwa na bwana Doto James, mpwa wa Mhe. Rais kuwa paymaster general wa serikali (Katibu Mkuu Wizara ya Fedha). Hata kama ingekuwa anastahili kitaaluma na uzoefu (japo kuna mashaka) lakini kimaadili hili limekaaje?
Wacheni ulisu. Mtu ana haki zake kama raia wa tz. Haki hizo hazipotei eti kwa kua ni mpwa wa rais. Huyo kichaa lissu ni mwanasheria gani kazi yake kushutumu bila ushahidi. Kama ameona jinai si akafungue kesi dhidi ya rais na mpwa wake. Kinachooneka ni chuki tu. Hawa maliberali wamezibiwa mianya ya kuiba hela ya umma kila kona ndio maana wanahorojoka kama wendawazimu
 
Sio sahihi familia moja kukaa kwenye nafasi za kula Kodi ya nchi kwa kiwango cha mishahara ya juu kabisa.

Utajiri wa nchi unahamia kwenye familia moja.
Huo ni ufisadi mbaya kuliko ule wa kupiga dili za kushirikisha watu wa maeneo tofauti. Hata mshiko ukitoka unakua umewagusa watanzania wengi.

Ndio maana enzi za wamu Fulani kule Kongo Watu wa familia mbali mbali waliibuka hata kama hawakua na ukoo na Mkwere.
Waliibuka mpaka akina Loo goomy ambao hawakua na hata ukoo na mkuu wa enzi hizo na wala hawakua wasomi ila ni kwa sababu suala la fedha lilishirikisha jamii pana.
Sasa pato la nchi kukaa mfukoni kwa mtu na familia yake ni jambo la kifisadi kwa nchi za kule Bangladeshi na Mongolia.

Sijui nani aliyeamua kuwa ile nchi kubwa kama Ujeruman iwe ni Mali ya familia na marafiki huku wengine wote kuonekana kama wezi .


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kitaalamu sans
 
Kwa ujumla siyo sahihi

Kwa staili ya uendeshaji wa nchi wa huyu Bwana, ni kuamrisha tu zitoke pesa hazina...

Huwezi ukastajabu kusikia CAG amefilichua "upotevu" wa pesa za 1.5 trillion shillings!

Matokeo yake ndiyo hayo ya kuweka mtoto wa Dada kwenye Hazina ya Taifa.......
I due respect your idea!!! Naomba uwe too academic!! Kwenye utumishi wa umma ama kivyovyote vile kwanini unahisi siyo sawa??? Naomba usiseme tu siyo sawa njoo na supportive evidence!!!! Jiondoe kwenye lile kundi la fallacy of generalization!!! Ukitoa evidence kwamba hafai kwa mujibu aidha wa sharia zetu ama maadili ya utumishi wa umma wengi tutajifunza ila ukijibu kwa kushabikia hakuna cha kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sahihi familia moja kukaa kwenye nafasi za kula Kodi ya nchi kwa kiwango cha mishahara ya juu kabisa.

Utajiri wa nchi unahamia kwenye familia moja.
Huo ni ufisadi mbaya kuliko ule wa kupiga dili za kushirikisha watu wa maeneo tofauti. Hata mshiko ukitoka unakua umewagusa watanzania wengi.

Ndio maana enzi za wamu Fulani kule Kongo Watu wa familia mbali mbali waliibuka hata kama hawakua na ukoo na Mkwere.
Waliibuka mpaka akina Loo goomy ambao hawakua na hata ukoo na mkuu wa enzi hizo na wala hawakua wasomi ila ni kwa sababu suala la fedha lilishirikisha jamii pana.
Sasa pato la nchi kukaa mfukoni kwa mtu na familia yake ni jambo la kifisadi kwa nchi za kule Bangladeshi na Mongolia.

Sijui nani aliyeamua kuwa ile nchi kubwa kama Ujeruman iwe ni Mali ya familia na marafiki huku wengine wote kuonekana kama wezi .


Sent using Jamii Forums mobile app
If you are an academic better you act academically!!! Your proof is under the principle of fallacy of generalization !!

Naomba kama kweli tunania ya kuelimisha toa sababu kwa mujibu wa sheria zetu ama maadili ya utumishi wa umma au kivyovyote vile juu ya kwann siyo sahihi?????

Ukisema siyo sahihi halafu unaanza kurefer mifano isiyooana na mjadala uliopo mezani unakuwa kama mropokaji!!!!

Ishu ya muhimu hapa ni kwann siyo sahihi???? Toa majibu ya kuridhisha ukirefer katiba au kivyovyote vile then tunaanzia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah mkuu imebidi nicheke hapo uliposema 'itaonekana kama watu wa kanda ya ziwa hasahasa wasukuma wanaonewa',maana huo ndio ukweli halisi muda wao ukifika hali itakua ni tete.

Labda watajitahidi kuacha mrithi ambae watamchagua wao ili awalinde ingawa kiukweli CCM na madhaifu yao yote inapokuja suala la M/kiti kuwachagulia mgombea wa urais hua inakua ni ngumu si ajabu mzee mwenyewe akashindwa kuacha anayemtaka na ndipo hapo 'wakina Dotto' wataelewa somo vzr.
Watanzania tunatatzo kwenye kufikiri

Msomi wa jf huwezi ukatetea hoja mgando kama hii!!! Hapa ndo nagundua watu wanachuki na mtu mmoja!!!

Hivi tatizo liko wapi hasa??? Kabila? CCM au Magufuli???

Hoja hizi ni za kipumbavu kabisa kwa karne hii huwezi jadili ukabila msomi mzima huko ni kukosa hekima na kujitambua naomba kama tunashindwa kujadili sera tuache mambo haya ya enzi za ujima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sahihi familia moja kukaa kwenye nafasi za kula Kodi ya nchi kwa kiwango cha mishahara ya juu kabisa.

Utajiri wa nchi unahamia kwenye familia moja.
Huo ni ufisadi mbaya kuliko ule wa kupiga dili za kushirikisha watu wa maeneo tofauti. Hata mshiko ukitoka unakua umewagusa watanzania wengi.

Ndio maana enzi za wamu Fulani kule Kongo Watu wa familia mbali mbali waliibuka hata kama hawakua na ukoo na Mkwere.
Waliibuka mpaka akina Loo goomy ambao hawakua na hata ukoo na mkuu wa enzi hizo na wala hawakua wasomi ila ni kwa sababu suala la fedha lilishirikisha jamii pana.
Sasa pato la nchi kukaa mfukoni kwa mtu na familia yake ni jambo la kifisadi kwa nchi za kule Bangladeshi na Mongolia.

Sijui nani aliyeamua kuwa ile nchi kubwa kama Ujeruman iwe ni Mali ya familia na marafiki huku wengine wote kuonekana kama wezi .


Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha ya kongo.
Kila uteuzi akifanya jamaa anateua jamaa yake watu wakilalamika anasema jamani hawa si ndio bakongomani banyewe hawa!
Hahahhaa. Acha jiwe nae akombe rasilimali zetu ajilimbikizie yeye na familia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom