Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,219
- 12,933
Kumbe alikuwa Naibu Katibu Mkuu kabla hajawa Katibu Mkuu..!!! mchakato kama Dotto Bitheko tu kuanzia Naibu Waziri wa Madini mpaka Waziri kamili wa MadiniWadau, malalamiko ni mengi kila kona ya nchi. Hii pia imechagizwa na bwana Doto James, mpwa wa Mhe. Rais kuwa paymaster general wa serikali (Katibu Mkuu Wizara ya Fedha). Hata kama ingekuwa anastahili kitaaluma na uzoefu (japo kuna mashaka) lakini kimaadili hili limekaaje?