cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 649
Wewe ndiyo msukuma usiyetumia nguvu nyingiMagu siyo msukuma.
Hakuna msukuma anayetumia nguvu nyiiingi watu wamwamini yeye ni msukuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo msukuma usiyetumia nguvu nyingiMagu siyo msukuma.
Hakuna msukuma anayetumia nguvu nyiiingi watu wamwamini yeye ni msukuma.
Inahusiana nini na tanzania?Rais wa South Korea aliyeondolewa mamlakani Park Geun-hye ameshtakiwa rasmi kuhusiana na kashfa ya rushwa iliyopelekea kung'atuliwa kwake uongozini.
Ulitaka uwe mshauri wake wewe kwa akili gani uliyonayoMuse7 hko mtoto wke ndy mshauri wake mkuu?this is africa mzee baba ?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamfanya nn acheni mdomo wenyeviti wa mtaa tu wanakula michango yenu mmewashindwa sembuse huyu?Mkuu Huyu dogo Dotto james bora atafute mapema pa kukimbilia maana mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka na uhujumu uchumi Dec 2025 yanamsubiri na hakwepi mfueni za kumtosha, mjomba yeye ana kinga ila dogo namuonea huruma.
Kanuni za utumishi wa umma zinaelekeza kwamba ili mtu ateuliwe kwenye nafasi ya kiuongozi au kimadaraka serikalini pamoja na utendaji bora na tabia njema ni lazima mtu huyo awe ameshafanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 12 na ni lazima awe na cheo cha afisa Mkuu yaani principal officer kwenye cheo chake cha utendaji kabla ya kuteuliwa kwenye cheo hicho cha kimadaraka.I due respect your idea!!! Naomba uwe too academic!! Kwenye utumishi wa umma ama kivyovyote vile kwanini unahisi siyo sawa??? Naomba usiseme tu siyo sawa njoo na supportive evidence!!!! Jiondoe kwenye lile kundi la fallacy of generalization!!! Ukitoa evidence kwamba hafai kwa mujibu aidha wa sharia zetu ama maadili ya utumishi wa umma wengi tutajifunza ila ukijibu kwa kushabikia hakuna cha kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la kipumbavuuu!!Ulitaka awe nani sasa
Yameandikwa wapi,na nani?acha chuki kama huna mjomba saga lapa au kachome mahindi na pili pili.Swali la kipumbavuuu!!
Unajua kitu inaitwa conflict of interest? Maadili ya utumishi wa umma yanatutaka kufanya hivyo!!
Hakuna cha maadili Dotto ni mtanzania kama walivyo watanzania wengine hebu nipe sababu ya kusema labda kuna sehemu pamekiukwa kimaadili
Sasa uchagga unahusikaje hapa this is too low its about qualifications wewe hata mchepuko.muweke.as .long.as anatimiza vigezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wakina Mramba,Regemalira,Malinzi hao ni kabila gani?hawajashughulikiwa?Je wachaga au wahaya waliotumia muda wao vzr wanahali tete?malaya!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kwa akili yako hii,acha Makonda aonekane ndio genius wenu kwny chama chenu.Watanzania tunatatzo kwenye kufikiri
Msomi wa jf huwezi ukatetea hoja mgando kama hii!!! Hapa ndo nagundua watu wanachuki na mtu mmoja!!!
Hivi tatizo liko wapi hasa??? Kabila? CCM au Magufuli???
Hoja hizi ni za kipumbavu kabisa kwa karne hii huwezi jadili ukabila msomi mzima huko ni kukosa hekima na kujitambua naomba kama tunashindwa kujadili sera tuache mambo haya ya enzi za ujima
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichokijua Jared&Ivanka hawalipwi hata senti 1 na serikali/white house kwa kazi hio ya kumshauri Trump.Jadili issue sio kukandia Uafrika wako ili ujihisi wewe labda ni tofauti.
Trump kaweka mwanawe Ivanka na mkwewe Jared Krusher Ikulu, wale nao ni Waafrika?
Kitilya, Sinare na Sumari piaKwani wakina Mramba,Regemalira,Malinzi hao ni kabila gani?hawajashughulikiwa?
Ikifika muda watu wengine kushughulikiwa kama wakina Mramba nadhani watu hawatamaindi kiviile.
Sawa kabisa kiongozi,ikifika muda wao wa kuisoma no. wasilalamike.
Mbona naskia ni mchumi aliyebobea kutoka Tanroads aliyesomea Harvard.Hazina ya nchi siyo kitu cha kuvhezea inatakiwa kuongozwa na mtu mzoefu na asiyeyumbishwa na wanasiasa. Uchumi wa nchi utakapo kufa ndiyo mtajiandaa kuilinda hazina kama mboni ya jicho. Upwa siyo tatizo hata kidogo tatizo ni linakuja hivi je ana uzoefu wa kutosha?
Yaleyale ya awamu ya nne ya Jakaya kikwete ,Chadema walidai Sheli zote Tanzania kutoka Zanzibar mpaka Buloba Ni za Ridhiwani kikwete ,waliropoka wakasema Kila Sheli mikoa yote Tanzania zilikuwa za Ridhiwani ,safari hii Chadema wamekuja na jipya la mpwa wa Rais,Wacheni ulisu. Mtu ana haki zake kama raia wa tz. Haki hizo hazipotei eti kwa kua ni mpwa wa rais. Huyo kichaa lissu ni mwanasheria gani kazi yake kushutumu bila ushahidi. Kama ameona jinai si akafungue kesi dhidi ya rais na mpwa wake. Kinachooneka ni chuki tu. Hawa maliberali wamezibiwa mianya ya kuiba hela ya umma kila kona ndio maana wanahorojoka kama wendawazimu
Hayati baba wa taifa angekua hai.huyo kijana asingekaa kwenye hio nafasi.Share
Sijafahamu bado kwa nini umeona imefaa sana kwa wewe kuuliza swali hilo. Kwa maan napata shaka juu ya ufahamu mdogi wa namna ambavyo katiba yetu ya Jamhuri inavyoelekeza.
Hata hivyo si mbaya sana kwani kuelezana kwa kuelemisha si jambo baya hata kidogo. Mara nyingi serikali inaweka mikakati dhabiti katika sekta mbalimbali lakini lengo hasa ni kumuhudumia mwananchi, ili naye mwananchi huyu aweze kuleta tija kwa ustawi wa taifa.
Na kwa jinsi hiyo, sekta ya elimu pia imeweka kusudi hilo. Kwamba, vijana wa Tanzania watasoma na kisha watalitumikia taifa lao wao wenyewe. Watatumia taaluma zao kwa ajili ya ustawi wa taifa lao. Kwa hiyo, kumbe wajibu wa kulitumikia taifa kwa watu wa taaluma ni la kila mtanzania mwenye sifa.
Hatuwezi kuwa wepesi wa kutazama sana hali ya undugu ama hali ya ukabila ambao haupo hapa nchini mwetu; kwa kudhani kuwa ndio tunatengeneza hoja ya kukosoa, badala yake ndio tunaumba ubaguzi wa namna hiyo taratibu ambao athari zake zitajidhihirisha baadaye.
Kuwa mpwa wa Rais ama mtoto wa Rais ama mjukuu wa Rais ama hata mke wa Rais, haikuondoleia haki zako za kikatiba kama watanzania wengine. Unayk haki ya kutumika kwenye majeshi, unayo haki ya kutumika kwenye biashara kubwa na ndogindogo, unayo haki ya kuwa katibu wa wizara yo yote ile ndani ya nchi, ipo haki pia ya kuwa hata waziri au balozi pia. Ili mradi tu utaratibu umezingatiwa.
Kwa mtanzania hawezi abadani kupoteza stahiki zake eti kwa kuwa ni mpwa wa Rais. Jambo la msingi hapa ni vegezo na sifa, na kama anazo basi amestahili kuwa kwenye nafasi hiyo. Tusianze kuumba ubaguzi wa kikabila au wa kindugu pasipo kuwa na sababu za msingi.
Ndiyo zamu yao acha watese kwa zamu,zamu iliyopita mlisema ya wakwere ,mkadai Ridhiwani kikwete anamiliki Sheli zote za Tanzania Toka Zanzibar mpaka bukoba,Sasa swala la Sheli za Ridhiwani limepotea limekuja la mpwa wa Rais msukuma kumiliki hazina ,poleni chadema Sera zimewakimbia mnatafuta ukabila,hata akiongea kichina bado mtatukana tu,subirini 2020 Lissu ataingia ikulu mtaongea lugha yoyote mtakayopendaHivyo kumbe sasa hivi ni zamu ya Wasukuma...??