
- Joined
- Nov 22, 2008
- Messages
- 3,395
- Likes
- 4,319
- Points
- 280

share
JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2008



Wadau, malalamiko ni mengi kila kona ya nchi. Hii pia imechagizwa na bwana Doto James, mpwa wa Mhe. Rais kuwa paymaster general wa serikali (Katibu Mkuu Wizara ya Fedha). Hata kama ingekuwa anastahili kitaaluma na uzoefu (japo kuna mashaka) lakini kimaadili hili limekaaje?