Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,038
- 25,298
Nikiolewa hata simu ntatumia ya mume wangu😊😊😊Hahahahah hii janja janja ya watoto wa kike tunaielewa ila tu huo ujinga uache ukishaolewa
Nikiolewa hata simu ntatumia ya mume wangu😊😊😊Hahahahah hii janja janja ya watoto wa kike tunaielewa ila tu huo ujinga uache ukishaolewa
Pole sana mkuu. Hapo ni wazi uliingia chaka.Asante Kwa ushuhuda.
Tumeoa mijanamke iliyotaka tuu kuweka heshima ya kuolewa.
Sijaona shida yoyote hapo
Pesa pesa pesa kvp ushawahi kuona shida za mwenye pesa kwenye mapenzi,? Mme anatembelea Benz na Mke Benz ila mke tunamla waandishi coursework zake na Research udent raha unakula vinono na pesa ndefuPESA
PESA
PESA
Asante mkuu. Hapa umeshauri kama Hilo jamaa.Relax wewe jamaa, usitishwe na maneno ya raia wanakuambia mkeo anachapwa nje...
Mimi binafsi huwa naitwa boss na wachuchu kibao, na sababu ya kuitwa hivyo ni vile huwa nanunua bidhaa kwao, hivyo huniita kwa heshima ya mteja ni mfalme...
Huenda kampuni ya mkeo wanahitaji bima ya NHIF, na mkeo ndio contact point ya kampuni na hao bima...
Huenda huyo jamaa ni mtu mwenye nafasi huko NHIF na mkeo labda alizembea kukamilisha kitu fulani na hiyo simu ilikuwa ni simu ya wito tu (makazini huwa watu wanaita ku-push), ambapo unapopush haswa kina mama ni lazima uwachimbe biti ili mambo yasogee (waliowahi kuwa maboss wa kina mama/wadada/wanawake wanaelewa)...
Relax
Asante mkuu. Hapa umeshauri kama Hilo jamaa.
Nime reconcile na Wife. Mambo yameenda sawa. Tunaenda Kusherehekea Sherehe ya Yesu Kristo Mwokozi wa Binadamu.
ndio mke mwenzangu,bwana etu huyuwewe ndo mkewe?
ndugu Amehlo umejibu maswali yote. Aksante.Me namuitaga baby wangu boss wangu nikiwa naongea nae kwa simu haswa nikiwa na mtu ambae sitaki ajue naongea na nani
Ila mkeo as long as amekwambianni boss wake basi ni boss wake
kitaaalamu sana hiiMe namuitaga baby wangu boss wangu nikiwa naongea nae kwa simu haswa nikiwa na mtu ambae sitaki ajue naongea na nani
Ila mkeo as long as amekwambianni boss wake basi ni boss wake
kitaaalamu sana hii
Umemaliza kila kituKuna mambo matatu ambayo hayajakaa sawa kwenye hilo tukio zima kwa ujumla wake.
Kwann hajaSave hiyo namba kama kweli ni boss wake?hivi namba ya boss wako unapataje ujasiri wa kutoiSave?mashaka yanaanzia hapa,kwa sisi wazee wa mechi za ugenini tunajua hii ni moja ya mbinu za ULinZi.
Boss anaejielewa hawezi kumgombeza mke wa MTU muda ambao sio wa kazi.kazi zina mipaka yake ikiwemo kuheshimu ndoa ya MTU.hata kama MTU hajaolewa huwezi mpigia usiku nakuanza kumporomoshea matusi as if mko kazini.so kwa sisi WAHUNI tunajua hiyo ni faulo umechezewa tena jamaa amemshika hasa mkeo,inawezekana anaMshughulikia vizuri kuliko ww or anaMuhudumia vizuri kwa kumpa mkwanja mzuri so mkeo ametekwa na huyo jamaa hana usemi or vyote viwili kwa pamoja vinahusika.
Kumuita huyo jamaa boss sio kosa kama lugha iliyokuwa inatumiwa ni Politely, kwa sisi wafanyabiashara ukiwa unambembeleza mteja or unamkaribisha mteja Mpya unamwita boss ili ajisikie fahari na iwe faida kwako aweze kununua bidhaa ulizonazo but ni politely mana lengo ni kushawishi.
Sasa kama kuna biashara yeyote mkeo anafanya na huyo jamaa labda huwenda ikawa yuko ktk masoko japo huyo mteja hapaswi kuwa mkali,kutukana,kukalipia nk nk.
Kama hamna chochote ktk hivyo nilivyotaja ni dhahiri shahiri unagongewa,na mkeo ni mzoefu ktk mambo hayo mana ana techic nyingi za kimalaya kuliko ww.na hyo jamaa yake ameshathibitishiwa kuwa ww si lolote si chochote ndio mana amekuwa na nguvu ya kupiga simu muda wowote na kuwa mkali sababu anajua hakuna shida.
Huo ukali alionao huyo jamaa ni kwamba anamjua mkeo ni MTU wa namna gani hivyo hayuko tayari na yeye kufanywa kama ulivyofanywa ww yaani kuwa zoba so anapambania Mali yake
Ni hivyo mkuu nilivyoelewa mm hawa viumbe usipokuwa makini watu wanaweza pigana kumgombania mkeo kila mmoja akisema wakwake ilihali ww hujui chochote kinachoendelea.
Pole sana cheza cheza mechi za nje kidogo upate uzoefu mkuu.
Huyo Ni bosi bosiniAkiwa kwako na nje ya muda wa Kaz huyo boss hakutakiwa kumgombeza mkeo Kwan yupo chin ya himaya yako
Akiwa ofisn sawa au ndan ya muda wa Kaz Hilo halina. Shida
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app