Random
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 791
- 740
Mada tajwa hapo juu ihusike;
Kwa familia zilizo na wazazi wawili na zikabarikiwa watoto, nyingi miongoni mwazo zina ugomvi. Hii ni kwa sababu chache au nyingi znazotofautiana kutoka familia moja hadi nyingine.
Kibaya zaidi unakuta watoto kwakuwa wameshabalehe na wao wanajiingiza katika ugomvi huo kwa kuelemea upande mmoja hasa wa mama wakidai kuwa mama anaonewa na baba n.k
Chuki, fitna, na hila za hapa na pale hudhihirika kwa baba yao. Mara chache sana watoto kua upande wa baba. Pamoja na yote je watoto kuingilia vita ya wazazi ni sawa?
Tupe experience hata ya jirani yako
Kwa familia zilizo na wazazi wawili na zikabarikiwa watoto, nyingi miongoni mwazo zina ugomvi. Hii ni kwa sababu chache au nyingi znazotofautiana kutoka familia moja hadi nyingine.
Kibaya zaidi unakuta watoto kwakuwa wameshabalehe na wao wanajiingiza katika ugomvi huo kwa kuelemea upande mmoja hasa wa mama wakidai kuwa mama anaonewa na baba n.k
Chuki, fitna, na hila za hapa na pale hudhihirika kwa baba yao. Mara chache sana watoto kua upande wa baba. Pamoja na yote je watoto kuingilia vita ya wazazi ni sawa?
Tupe experience hata ya jirani yako