FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,700
Unakuta eti Serikali wanatenga bajeti kwa ajili ya kulipa makampuni binafsi ya mawasiliano ili waende wakasimike minara kwenye maeneo ambayo hayana mvuto wa kibishara hasa vijijini, hii ni sahihi?
Kwanini wasiwakopeshe hizo pesa hata kama ni kwa 0% intrest rate, yaani warudishe baada ya miaka kadhaa kiasi kile kile walichopewa bila riba? Logic ni kwamba lile eneo ipo siku litakuwa na mvuto wa kibishara na wao ndio watafaidika nayo, hii imekaaje?
Kwanini wasiwakopeshe hizo pesa hata kama ni kwa 0% intrest rate, yaani warudishe baada ya miaka kadhaa kiasi kile kile walichopewa bila riba? Logic ni kwamba lile eneo ipo siku litakuwa na mvuto wa kibishara na wao ndio watafaidika nayo, hii imekaaje?