Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Kwenye familia za kizungu mzazi kugonga kwenye room ya wanawe wa jinsia tofauti imekuwa ni utamaduni tofauti na kwenye familia zetu za kiafrika mzazi huingia bila hodi.
Baadhi ya watu wameona ni sahihi na wengine wanapinga swala hili.
Je mzazi ana mamlaka ya kuingia chumbani kwa mwanae bila hodi?
Ni ipi experience yako kama mzazi au kijana uliyepita kwa wazazi??
Baadhi ya watu wameona ni sahihi na wengine wanapinga swala hili.
Je mzazi ana mamlaka ya kuingia chumbani kwa mwanae bila hodi?
Ni ipi experience yako kama mzazi au kijana uliyepita kwa wazazi??