Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Waungwana Salaam!
Niende moja kwa moja kwenye hoja, je ni sahihi na halali kwa mzazi anayeishi na watoto wake watu wazima nyumbani na hawasomi kuwalipisha kodi ya nyumba na gharama zingine kama umeme, maji nk?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye hoja, je ni sahihi na halali kwa mzazi anayeishi na watoto wake watu wazima nyumbani na hawasomi kuwalipisha kodi ya nyumba na gharama zingine kama umeme, maji nk?
Sent using Jamii Forums mobile app