Je, ni sahihi kwa Mwana FA kujiita Gwiji wakati Fatuma Binti Baraka na fahari zake zote mpaka umauti unamfika hajawahi jiita gwiji?

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wadau..!

Ebu leo tumjadili huyu mtu anayejiita Mwana FA achana na Hamis Mwinjuma maana huyo nasikia siku hizi ni Mbunge huko jimbo la Muheza.

Je, ni sahihi kwa wanamuziki wa kizazi hiki kipya kujivisha ma vyeo kama Gwiji,King n.k wakati hawajawai kuliletea taifa hata tuzo moja ya heshima kama ilivyo kwa Fatuma Binti Baraka (Bibi Kidude ) ambaye mpaka Wikipedia na mitandao mingine mikubwa duniani inamtambua kama Gwiji.

Bi Kidude mpaka umauti unamfika huyu ndio tunamtambua kama Gwiji la muziki ,alikuwa anaimba mpaka watu wanatoka uarabuni na ulaya kuja kumuangalia akiimba.

Sasa huu ugwiji wa mwana FA unatoka wapi??mwenye kujua hili suala atupe ufafanuzi.
 
Wakati shindano la kumtafuta malkia wa taarab miaka ile washiriki waliotoana jasho walikua Hadija Kopa na Nasma Kidogo (Marehemu) Bi Kidude alikua wapi?

I mean hata hatukujua kama anaexist lakini Mwana FA tulikua tunajua anaexist ndani ya EAC ikiongozwa na GK. Tulishasikiza ngoma zake kadhaa.

Pia usikasirike pengine anamaanisha gwiji wa hiphop.
 
Wakati shindano la kumtafuta malkia wa taarab miaka ile washiriki waliotoana jasho walikua Hadija Kopa na Nasma Kidogo (Marehemu) Bi Kidude alikua wapi?....

Duh yaani Bi kidude akashindane na kina Hadija kopa?

Na kama wewe hukuwahi kumsikia basi hakuwepo?
Aisee

Na ambao hawajawahi msikia Mbaraka Mwinshehe?Nao watasema hakuwa mwanamuziki?

Ambao hawajawahi msikia Marijani Rajabu na wao watasema hakuwa Jabali la Mziki??.

Hivi unajua hata maana ya History?

Ambao hawakuwepo wakati Msuya waziri mkuu waseme waziri mkuu ni Lowasa na Pinda na Majaliwa tu?Wengine wote hawawatambui???
 
Wakati shindano la kumtafuta malkia wa taarab miaka ile washiriki waliotoana jasho walikua Hadija Kopa na Nasma Kidogo (Marehemu) Bi Kidude alikua wapi?

I mean hata hatukujua kama anaexist lakini Mwana FA tulikua tunajua anaexist ndani ya EAC ikiongozwa na GK. Tulishasikiza ngoma zake kadhaa.

Pia usikasirike pengine anamaanisha gwiji wa hiphop.
utakuwa ulezaliwa around 2000's ndio maana haujui hata historia ya music wa bongo .😂😂😂
 
Wakati shindano la kumtafuta malkia wa taarab miaka ile washiriki waliotoana jasho walikua Hadija Kopa na Nasma Kidogo (Marehemu) Bi Kidude alikua wapi?

I mean hata hatukujua kama anaexist lakini Mwana FA tulikua tunajua anaexist ndani ya EAC ikiongozwa na GK. Tulishasikiza ngoma zake kadhaa.

Pia usikasirike pengine anamaanisha gwiji wa hiphop.
Kaa kimya,wewe ulikuwa bado hujazaliwa,hii mada haikuhusu,waachi wakubwa.
 
Kaa kimya,wewe ulikuwa bado hujazaliwa,hii mada haikuhusu,waachi wakubwa.
Angekuwa yupo karibu inaonyesha ungemchapa kibao kwanza akili imkae sawa hao ndio watoto waliokosa malezi bora wakubwa wanaongea na yy anafungua bakuli lake😂😂
 
Wakati shindano la kumtafuta malkia wa taar, ,ab miaka ile washiriki waliotoana jasho walikua Hadija Kopa na Nasma Kidogo (Marehemu) Bi Kidude alikua wapi?

I mean hata hatukujua kama anaexist lakini Mwana FA tulikua tunajua anaexist ndani ya EAC ikiongozwa na GK. Tulishasikiza ngoma zake kadhaa.

Pia usikasirike pengine anamaanisha gwiji wa hiphop.
Inaonekana wewe bado mdogo sana kiumri huijui historia ya Bibi kidude kwenye mziki wa Tanzania, huyo mwana FA hata kwa Remmy ongala tu hafiki
 
Duh yaani Bi kidude akashindane na kina Hadija kopa??
Na kama wewe hukuwahi kumsikia basi hakuwepo?....
Haujajibu swali unazunguka kwenye mifano tu.

Bi Kidude ameimba sana kwenye Sauti Za Busara. Sauti za Busara imekuja baadaye mno baada ya lile shindano la wakina marehemu Nasma, kabla ya Sauti za Busara sikuwahi kumuona akiimba.

Ilikua ni kuona picha na kusikia sifa zake.

Now aliweza panda Sauti za Busara huku umri ukiwa umeenda yet alishindwa kupanda jukwaani miaka 5+ nyuma?

Ndiyo logic yako hiyo?
 
Back
Top Bottom