FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,054
- 40,715
Je huyu dereva wa lorry alikuwa ana haki ya kujaribu kumuua huyu mwendesha baiskeli kisa hasira?
Je huyu dereva wa lorry alikuwa ana haki ya kujaribu kumuua huyu mwendesha baiskeli kisa hasira?
Ni hatari sana!Sema kuendesha bicycle barabara kubwa inataka moyo,,Lori likikupita kama ni kimbaumbau kama Mimi linaweza kukupuliza na upepo ukadondoka mtaroni