Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi siwekagiHuwa siweki kabisa sukari kwenye maziwa yeyote iwe mgando au maziwa fresh, labda niandaliwe na mtu asiyefahamu hilo.
Siwezi kukupa sababu maana toka nikiwa mdogo sikuwa napenda kutia sukari.Kwanini mkuu? Maana wengine tunakosa kabisa ladha kwenye maziwa fresh
Hii ni bonge la faida.Weka asali utapata ladha ya utamu na faida Za asali
Hii ni bonge la faida.
Kuna kipindi nilikuwa napiga kikombe cha maziwa kwa vijiko 3 vya asali.
Utamu wake na faida zilikuwa za kumwaga
kabisa mkuu! sijui wanawezaje bila sukariBila sukari maziwa sinywi no way kila mtu apambanae Na Hali yake
Mkuu, nimefuatilia nyuzi hakuna aliyekujibu.Sijui kama nipo jukwaa sahihi au lah.
Naomba kuuliza kama kuongeza sukari kwenye maziwa fresh hauwezi kupunguza ubora wa maziwa?
Kwan hata maziwa mgando yakiwa yameganda kabisaa ukiweka tu sukari yanaanza kukatika. Karibuni kwa mchango.
Kwani ukisema umeshauriwa na Daktari uache kutumia vitu vya sukari unapungukiwa nn?Siwezi kukupa sababu maana toka nikiwa mdogo sikuwa napenda kutia sukari.
Na sasa ukubwani ndiyo kabisaa; vitu vya sukari sukari sipendelei kabisa.
Sijui kama nipo jukwaa sahihi au lah.
Naomba kuuliza kama kuongeza sukari kwenye maziwa fresh hauwezi kupunguza ubora wa maziwa?
Kwan hata maziwa mgando yakiwa yameganda kabisaa ukiweka tu sukari yanaanza kukatika. Karibuni kwa mchango.
...jibu lako njema, mkuu.Mkuu, nimefuatilia nyuzi hakuna aliyekujibu.
Sasa nakujibu.
Sio sahihi kuweka sugar kwenye maziwa. Sababu:
Maziwa yana acid kiwango cha 4.5 kwenye ph scale.
Sugar ina acid kwa wingi sana, hivyo kuongeza sukari kwenye maziwa ni kuingeza acid kwa wingi hivyo kuongeza burden tumboni maana huko tumboni pia zinamwaga HCL ili kuua vijidudu vya vyakula na kulainisha mmeng'enyo.
Hivyo unauumiza mwili kuongeza sukari kwenye maziwa, ni bora uache kutumia maziwa kama huwezi kuyatumia hivihivi au weka asali.