Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Kumekuwa kukiandikwa na kutangazwa mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kwa kutumia msemo huu" Inahofiwa watu kadhaa wameumia katika ajali hiyo". Neno KUHOFIA linaleta maana iliyokusudiwa katika sentesi hii? Na je, KUHOFIA maana yake ni nini?