That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,188
- 3,598
Huwa chuma zinasafiwa vizuri kabisa, oil inapotea kwenye engine kabisa kisha wanaiwekea oil yenye viscosity kubwa halafu wanasubiri mpigwaji.Oil itaonekana tu, engine ikiwa safi au chafu. Wewe utashindwa kuona michirizi ya oil toka kwenye cylinder head?!