Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,574
- 3,133
Habari wakuu.
Je, itokee mtu awe na mahusiano unayoyatilia shaka na wako mke/mpenzi na wewe ukamtafuta kumkanya na kumtisha either peaceful or whatever ni sahihi?
Na kabla ya kufanya hayo yote ukamuuliza mpenzi wako akakataa na usiridhike je ukichukua hatua hii ni busara?
Je, itokee mtu awe na mahusiano unayoyatilia shaka na wako mke/mpenzi na wewe ukamtafuta kumkanya na kumtisha either peaceful or whatever ni sahihi?
Na kabla ya kufanya hayo yote ukamuuliza mpenzi wako akakataa na usiridhike je ukichukua hatua hii ni busara?