Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,125
- 19,715
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri wakuu,
Nisipoteze muda kuna hili swala limetokea pahali kidogo limenishangaza bada ya mzee mmoja kuchachama kwa ukali juu ya tabia ambayo binafsi sijaona kama ni tatizo japo si mumini wa hiyo tabia hapana.
Mzee alikuwa mbogo na kudai kijana hayaheshimu maliwato nikabaki na shangaa. Kumbuka nilikua katika pilikapilika zangu na hapo ilikua katika choo cha public.
Na pengine kuwaza wenda ni umri unamsumbua, lakini nikasema hapana lazima nitake kulifahamu hili kiundani je ni sahihi kuingia chooni na kofia au BARAKASHE iwe kwa haja kubwa au ndogo.
Na kama hapana yapi mavazi ya maliwatoni? Na kwa nini hapana?
Je Kunaushirika wowote wa choo na nguvu za giza?
Au choo kina mihadi yoyote na mapepo? Au choo kina utakatifu gani hadi kuvuliwa kofia?
Nisipoteze muda kuna hili swala limetokea pahali kidogo limenishangaza bada ya mzee mmoja kuchachama kwa ukali juu ya tabia ambayo binafsi sijaona kama ni tatizo japo si mumini wa hiyo tabia hapana.
Mzee alikuwa mbogo na kudai kijana hayaheshimu maliwato nikabaki na shangaa. Kumbuka nilikua katika pilikapilika zangu na hapo ilikua katika choo cha public.
Na pengine kuwaza wenda ni umri unamsumbua, lakini nikasema hapana lazima nitake kulifahamu hili kiundani je ni sahihi kuingia chooni na kofia au BARAKASHE iwe kwa haja kubwa au ndogo.
Na kama hapana yapi mavazi ya maliwatoni? Na kwa nini hapana?
Je Kunaushirika wowote wa choo na nguvu za giza?
Au choo kina mihadi yoyote na mapepo? Au choo kina utakatifu gani hadi kuvuliwa kofia?