NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,123
- 16,423
Wadau nimewaza sana nikajiuliza mno sikupata jibu!!Kuna huu msemo wa kipumbavu sana eti! Baba huwa hatafuti mtoto bali mtoto ndio hutafuta Baba!
Huu msemo ni sahihi?kuna ndugu zangu wamefanya haya na huwa najiuliza wanapataje amani ya nafsi kwa ujinga kama huu?
Baba yangu mdogo alizaa binti mzuri sana anaitwa Halima kule Bunda na mama mmoja wa kiisenye !Badae aliondoka na kurudi kwao dodoma na kumuacha mama na mtoto hadi leo ilikuwa miaka ya 1995!!Hakumfuatilia wala hajui huyo binti alipo!!Binafsi namdharau na kumuona mjinga unawezaje kuiacha damu yako kizembe vile?Leo ameoa na ana watoto karibu watano
Baba yangu mzazi kabla ya mimi kuzaliwa alizaa mtoto kule Iringa mtaa wa uhindini kwa ustaadhi tena shehe tena alizaa na binti wa huyo ustaadhi tena mtoto wa kiume !!!Lakini hadi leo hajui alipo wala hakufuatilia sasa huwa namwangalia namdharau sana
Kuna dada yangu wa mama mwingine kwa sasa ni marehem alizaa watoto wawili huko tanga badae alikuja nao nyumbani baada ya miaka miwili alifariki mi nikiwa masomoni !Badae ndugu wa mume wa marehemu walikuja kuchukua hao watoto kizembe sana! Kumbuka hawakuja hata kwenye mazishi ya mama ya wale watoto wala walikuwa hawatoi matumizi yeyote sasa najiuliza waliwachukuaje watoto wakiwa wadogo vile?
Eti kwanini baba alikubali kwanini wasingelelewa wakawa wakubwa kwanza ndio wakachukuliwa???Hadi leo hawajulikani walipo wakina Shafi Abeid na Omari Abeid nachukia sana!Kumbe inawezekana hata wanangu wanaweza telekezwa kabisa mi nisipokuwepo
Je wadau nauliza ni sahihi ujinga huu??Mbona mimi nilienda hadi kusini kuifuata ile mimba yangu niliompa tukiwa chuoni hadi leo nalea mtoto tena na wadogo zake. Hawa wanaume wenzangu walishindwa nini?
Kuna watu wanatia Hasira sana wakuu
Huu msemo ni sahihi?kuna ndugu zangu wamefanya haya na huwa najiuliza wanapataje amani ya nafsi kwa ujinga kama huu?
Baba yangu mdogo alizaa binti mzuri sana anaitwa Halima kule Bunda na mama mmoja wa kiisenye !Badae aliondoka na kurudi kwao dodoma na kumuacha mama na mtoto hadi leo ilikuwa miaka ya 1995!!Hakumfuatilia wala hajui huyo binti alipo!!Binafsi namdharau na kumuona mjinga unawezaje kuiacha damu yako kizembe vile?Leo ameoa na ana watoto karibu watano
Baba yangu mzazi kabla ya mimi kuzaliwa alizaa mtoto kule Iringa mtaa wa uhindini kwa ustaadhi tena shehe tena alizaa na binti wa huyo ustaadhi tena mtoto wa kiume !!!Lakini hadi leo hajui alipo wala hakufuatilia sasa huwa namwangalia namdharau sana
Kuna dada yangu wa mama mwingine kwa sasa ni marehem alizaa watoto wawili huko tanga badae alikuja nao nyumbani baada ya miaka miwili alifariki mi nikiwa masomoni !Badae ndugu wa mume wa marehemu walikuja kuchukua hao watoto kizembe sana! Kumbuka hawakuja hata kwenye mazishi ya mama ya wale watoto wala walikuwa hawatoi matumizi yeyote sasa najiuliza waliwachukuaje watoto wakiwa wadogo vile?
Eti kwanini baba alikubali kwanini wasingelelewa wakawa wakubwa kwanza ndio wakachukuliwa???Hadi leo hawajulikani walipo wakina Shafi Abeid na Omari Abeid nachukia sana!Kumbe inawezekana hata wanangu wanaweza telekezwa kabisa mi nisipokuwepo
Je wadau nauliza ni sahihi ujinga huu??Mbona mimi nilienda hadi kusini kuifuata ile mimba yangu niliompa tukiwa chuoni hadi leo nalea mtoto tena na wadogo zake. Hawa wanaume wenzangu walishindwa nini?
Kuna watu wanatia Hasira sana wakuu