Leo nimekwenda Zanaki Sec School, upande ule wa madarasa enye 'Kombi' ya KLF. kule kuna duka la vifaa vya maofisini. Kilichonishangaza ni tangazo llinalosomeka hivi, 'TANGAZO; RIMS ZA PHOTOCOPY ZINAPATIKANA'. Je, jambo hili linatufundisha nini? Je hakuna walimu makini hata wanafunzi, kwani tangazo lenyewe laonekana ni la siku nyingi. H