wana jamii hebu nisaidieni kwa hili mji wa dar es salaam nani mwenye mamuuzi tuna mameya watatu na wasaidizi wao na meya mkubwa wao na mkuu wa mkoa na wakurugenzi na madiwani je ni nani anaaumua huu mji uendelezwe vipi uwe na rangi gani nk. loh hapa pananichosha.