ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Habarini mabestitoooooooo
Natumai muwazima wa afya mko mkiandaa katika maandalizi ya
mwaka mpya wa 2014 Je mmjiandajee marafikiki zangu
je mmeshajipanga katika mambo mbalimbali ya maendele yenu?
Je kama bado mnasubiri nini wakati ndo ushayoyoma bandugu?
Kama ulishindwa kutimiza malengo yako ya mwaka huu basi
una nafasi ingine kwa mwakani kujipanga na kuyatekeleza yale
uliyojiwekea hapo mwanzo usikate tamaa kwani Mungu yuko nawe
JIPANGE SAWASAWA KWA MWAKA UNAOKUJA 2014
nawe utaona mafanikio DO'NT GIVE UP
Marafiki zangu katika hawa WANAUME wa jf hapa ni nani
unayemuona kimtazamo wako anafanana na msanii DIAMOND
uwanja ni wako tambua na sema waziwazi vile uonavyo hapa
DIAMOND MWENYEWE HUYU HAPA:
Wanaume wa jf nimewatiririkia kihivi ona picha zao:
Arushaone
Baba V
BAK
Bishanga
Bujibuji
Excel
kichomiz
Mwanyasi
Young Master
Slave
Bundewe
Kiranja Mkuu
kabanga
kobun
utafiti
kinyoba
Chagueni yupi anayefanana naye sana Diamond hapo kisha twanga maneno yako ya kumsifia bestito
Samahani kama nimewaudhi niliowaweka hapa pichani bali nikuchitchat tu kwa kwenda mbele mabestito
Nawatakia kheri na fanaka katika kuukaribisha mwaka mpya 2014 nawapenda
Wasalaamu;
Ladyf
Natumai muwazima wa afya mko mkiandaa katika maandalizi ya
mwaka mpya wa 2014 Je mmjiandajee marafikiki zangu
je mmeshajipanga katika mambo mbalimbali ya maendele yenu?
Je kama bado mnasubiri nini wakati ndo ushayoyoma bandugu?
Kama ulishindwa kutimiza malengo yako ya mwaka huu basi
una nafasi ingine kwa mwakani kujipanga na kuyatekeleza yale
uliyojiwekea hapo mwanzo usikate tamaa kwani Mungu yuko nawe
JIPANGE SAWASAWA KWA MWAKA UNAOKUJA 2014
nawe utaona mafanikio DO'NT GIVE UP
Marafiki zangu katika hawa WANAUME wa jf hapa ni nani
unayemuona kimtazamo wako anafanana na msanii DIAMOND
uwanja ni wako tambua na sema waziwazi vile uonavyo hapa
DIAMOND MWENYEWE HUYU HAPA:
Wanaume wa jf nimewatiririkia kihivi ona picha zao:
Arushaone
Baba V
BAK
Bishanga
Bujibuji
Excel
kichomiz
Mwanyasi
Young Master
Slave
Bundewe
Kiranja Mkuu
kabanga
kobun
utafiti
kinyoba
Chagueni yupi anayefanana naye sana Diamond hapo kisha twanga maneno yako ya kumsifia bestito
Samahani kama nimewaudhi niliowaweka hapa pichani bali nikuchitchat tu kwa kwenda mbele mabestito
Nawatakia kheri na fanaka katika kuukaribisha mwaka mpya 2014 nawapenda
Wasalaamu;
Ladyf
Last edited by a moderator: