Salam kwenu wakuu. Nimekua nafatilia jinsi wasanii mbalimbali hapa nchini wakishindana video zao kupata viewers wengi na nimewahi kusikia pia hua MTANDAO wa youtube unawalipa watu wenye viewers wengi. Maswali ni
1. Je, ni kweli MTANDAO hua huwalipa watu. Kama ndivyo ni nini vigezo vyao hao youtube mpaka wakulipe?
2. Je, Sheria ya MTANDAO inawataka hao wasanii ama mtu yoyote mwenyeacount ya youtube channel kuilipia na kusajili TCRA?
3. Hao youtube wanawalipa kila mwezi?
4. Vipi KWA wengine wenye account huko youtube Kama za mapishi, filamu n.k nao wanalipwa.
Karibuni KWA mwenye ufahamu
1. Je, ni kweli MTANDAO hua huwalipa watu. Kama ndivyo ni nini vigezo vyao hao youtube mpaka wakulipe?
2. Je, Sheria ya MTANDAO inawataka hao wasanii ama mtu yoyote mwenyeacount ya youtube channel kuilipia na kusajili TCRA?
3. Hao youtube wanawalipa kila mwezi?
4. Vipi KWA wengine wenye account huko youtube Kama za mapishi, filamu n.k nao wanalipwa.
Karibuni KWA mwenye ufahamu