Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 575
Salaam wakuu
Hii tabia sasa imekua chronic kwangu haiwezi pita siku ndani ya masaa 24 nisiingie internet Tabia hii imenifanya,kutumia pesa kununua,bundle ili nisitoke mtandaoni.
Japo kuwa Mara nyingi vitu,ninavyo,Fanya mtandaoni ni vyenye kuleta mambo chanya napenda sana kujifunza,mambo mapya ya msingi na kujua kinacho jiri katika nchi zingine za wenzetu hasa, ughaibuni mwisho nikagundua starehe yangu,kubwa,nikutumia internet I like surfing the web that's all!
Vipi nyie wakuu mnaweza vipi kumanage this situations?
Hii tabia sasa imekua chronic kwangu haiwezi pita siku ndani ya masaa 24 nisiingie internet Tabia hii imenifanya,kutumia pesa kununua,bundle ili nisitoke mtandaoni.
Japo kuwa Mara nyingi vitu,ninavyo,Fanya mtandaoni ni vyenye kuleta mambo chanya napenda sana kujifunza,mambo mapya ya msingi na kujua kinacho jiri katika nchi zingine za wenzetu hasa, ughaibuni mwisho nikagundua starehe yangu,kubwa,nikutumia internet I like surfing the web that's all!
Vipi nyie wakuu mnaweza vipi kumanage this situations?