GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,858
Je,....
1. Mgombea ambaye Sera zake ni Miundombinu, Usafirishaji, Utalii na Madini huku Vitisho / Mikwara vikitawala Ubongo wake 24/7?
2. Mgombea ambaye Sera zake ni Kuanza Kwanza kupambania Maisha Magumu ya wana Malawi ya Kaskazini na Haki zao Kiujumla?
3. Mgombea ambaye Sera zake ni Kushirikisha sana Wataalam katika Maeneo husika, Maendeleo na Utu wa Kisiasa na Amani?
GENTAMYCINE nikiwa kama Raia wa hapa nchini Malawi ya Kaskazini nina uhakika Majibu yenu ya hapa yatatupa Mshindi halali wa Uchaguzi huo.
1. Mgombea ambaye Sera zake ni Miundombinu, Usafirishaji, Utalii na Madini huku Vitisho / Mikwara vikitawala Ubongo wake 24/7?
2. Mgombea ambaye Sera zake ni Kuanza Kwanza kupambania Maisha Magumu ya wana Malawi ya Kaskazini na Haki zao Kiujumla?
3. Mgombea ambaye Sera zake ni Kushirikisha sana Wataalam katika Maeneo husika, Maendeleo na Utu wa Kisiasa na Amani?
GENTAMYCINE nikiwa kama Raia wa hapa nchini Malawi ya Kaskazini nina uhakika Majibu yenu ya hapa yatatupa Mshindi halali wa Uchaguzi huo.