Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Asante mkuu, nazidi kujifunza, nielezee kdg kuhusu bond fund mkuu.
Bond fund - hii inafaa zaidi kwa mtu mwenye fedha nyingi atakaye kuziweka mahali kisha awe anakula faida yake kila mwezi au kila miezi mitatu. Mfano mtu anapata kiinua mgongo cha milioni 100 na hana mpango wa kuziingiza kwenye biashara yoyote. Akiziweka bond fund na kuchagua mpango wa malipo kila mwezi anakuwa sawa na mtu mwenye mshahara.

Wanaiita bond fund kwa sababu wao wanawekeza sehemu kubwa ya fedha za mfuko huu katika bond za serikali, hasa za muda mrefu ambako wanapata riba za over 15%. Na ndio maana wanaweza kutoa faida za around 11 - 12% per annum kwa wanachama wao.
 
Bond fund - hii inafaa zaidi kwa mtu mwenye fedha nyingi atakaye kuziweka mahali kisha awe anakula faida yake kila mwezi au kila miezi mitatu. Mfano mtu anapata kiinua mgongo cha milioni 100 na hana mpango wa kuziingiza kwenye biashara yoyote. Akiziweka bond fund na kuchagua mpango wa malipo kila mwezi anakuwa sawa na mtu mwenye mshahara.

Wanaiita bond fund kwa sababu wao wanawekeza sehemu kubwa ya fedha za mfuko huu katika bond za serikali, hasa za muda mrefu ambako wanapata riba za over 15%. Na ndio maana wanaweza kutoa faida za around 11 - 12% per annum kwa wanachama wao.
Asante mkuu, kwa uwekezaji angalau wa miaka kama mitatu kwa mtaji wa milioni mbili ungenishauri niselect mfuko upi mkuu, ninaomba pia unielezee kdg kuhusu watoto fund. Sorry for frequently asking mkuu.
 
Asante mkuu, kwa uwekezaji angalau wa miaka kama mitatu kwa mtaji wa milioni mbili ungenishauri niselect mfuko upi mkuu, ninaomba pia unielezee kdg kuhusu watoto fund. Sorry for frequently asking mkuu.
Yaani hata wangesema wanatoa 14% kwa mwaka,hio 2mil kwa 3yrs haiwezi hata kukuzalishia laki 9 kwa miaka yote mitatu.
 
Kwa wastani hii mifuko y UTT ina faida zinazolingana, tofauti ni ndogo sana. Utachagua mfuko ambao unakidhi mahitaji/malengo yako.
Nitakupa stori yangu.
Mimi nilipata kama 60m mahali fulani. Nikaamua niihifadhi mahali ili niongezee itoshe kununua kiwanja na kujenga. Baada ya ushauri na utafiti nikafungua Jikimu fund (re investment) Hii wanatoa gawio mara 3 kwa mwaka na faida hupewi ila inaongeza mtaji.
Baada ya miaka miwili wazo la kujenga nikalifuta maana nilikua na mtaji wa karibu 100m na faida yake kwa mwaka ni zaidi ya 10m. Nachukua 6m nalipia kodi ya nyumba iliyobaki naiacha ikuze mtaji wangu, kuliko kuwa na nyumba isiyoingiza chochote.
Hii ni faida ndogo sana kulinganisha na unachoweza kupata kwenye biashara. Lakini kumbuka si kila mtu anaweza kufanya biashara. Wengine kazi tunazofanya inakua ngumu kusimamia biashara nyingine. Wengine utaalam wa biashara ni mdogo. Wengine wanatafuta mahali pa kuweka hela zao kwa muda tu ili waweze kuzitumia hapo baadaye.
Kwa hiyo kuwekeza huku sio kubaya.
 
Asante mkuu, kwa uwekezaji angalau wa miaka kama mitatu kwa mtaji wa milioni mbili ungenishauri niselect mfuko upi mkuu, ninaomba pia unielezee kdg kuhusu watoto fund. Sorry for frequently asking mkuu.
Liquid fund naamini inakufaa zaidi kwa takwa lako.

Watoto fund sina uzoefu nayo mkuu kwa vile sijawahi kujiunga nayo. Nafikiri imelengwa kusave kwa ajili ya kusomesha.
 
Kwa wastani hii mifuko y UTT ina faida zinazolingana, tofauti ni ndogo sana. Utachagua mfuko ambao unakidhi mahitaji/malengo yako.
Nitakupa stori yangu.
Mimi nilipata kama 60m mahali fulani. Nikaamua niihifadhi mahali ili niongezee itoshe kununua kiwanja na kujenga. Baada ya ushauri na utafiti nikafungua Jikimu fund (re investment) Hii wanatoa gawio mara 3 kwa mwaka na faida hupewi ila inaongeza mtaji.
Baada ya miaka miwili wazo la kujenga nikalifuta maana nilikua na mtaji wa karibu 100m na faida yake kwa mwaka ni zaidi ya 10m. Nachukua 6m nalipia kodi ya nyumba iliyobaki naiacha ikuze mtaji wangu, kuliko kuwa na nyumba isiyoingiza chochote.
Hii ni faida ndogo sana kulinganisha na unachoweza kupata kwenye biashara. Lakini kumbuka si kila mtu anaweza kufanya biashara. Wengine kazi tunazofanya inakua ngumu kusimamia biashara nyingine. Wengine utaalam wa biashara ni mdogo. Wengine wanatafuta mahali pa kuweka hela zao kwa muda tu ili waweze kuzitumia hapo baadaye.
Kwa hiyo kuwekeza huku sio kubaya.
Mkuu uko sahihi.

Mimi niongezee kuwa nina nyumba ya kupangisha - lakini usumbufu ninaopata kukusanya kodi, na pia fedha ipatikanayo - nikipata mteja nitauza hiyo nyumba na kuweka fedha zote utt (au Treasury bonds za muda mrefu zikipatikana).
 
Kwa wastani hii mifuko y UTT ina faida zinazolingana, tofauti ni ndogo sana. Utachagua mfuko ambao unakidhi mahitaji/malengo yako.
Nitakupa stori yangu.
Mimi nilipata kama 60m mahali fulani. Nikaamua niihifadhi mahali ili niongezee itoshe kununua kiwanja na kujenga. Baada ya ushauri na utafiti nikafungua Jikimu fund (re investment) Hii wanatoa gawio mara 3 kwa mwaka na faida hupewi ila inaongeza mtaji.
Baada ya miaka miwili wazo la kujenga nikalifuta maana nilikua na mtaji wa karibu 100m na faida yake kwa mwaka ni zaidi ya 10m. Nachukua 6m nalipia kodi ya nyumba iliyobaki naiacha ikuze mtaji wangu, kuliko kuwa na nyumba isiyoingiza chochote.
Hii ni faida ndogo sana kulinganisha na unachoweza kupata kwenye biashara. Lakini kumbuka si kila mtu anaweza kufanya biashara. Wengine kazi tunazofanya inakua ngumu kusimamia biashara nyingine. Wengine utaalam wa biashara ni mdogo. Wengine wanatafuta mahali pa kuweka hela zao kwa muda tu ili waweze kuzitumia hapo baadaye.
Kwa hiyo kuwekeza huku sio kubaya.
Nimepata kitu zaidi mkuu kupitia comment yako, Asante sana mkuu.
 
Liquid fund naamini inakufaa zaidi kwa takwa lako.

Watoto fund sina uzoefu nayo mkuu kwa vile sijawahi kujiunga nayo. Nafikiri imelengwa kusave kwa ajili ya kusomesha.
Kiujumla mkuu nikushukuru sana kwa kuchangamsha huu uzi na pia kutupa uelewa zaidi kuhusiana na hii mifuko, mpk sasa angalau nimeshapata pa kuanzia kilichobaki ni mm tu kutekeleza kilichobaki, nakushukuru sana, nawashukuru sana.
 
Mkuu uko sahihi.

Mimi niongezee kuwa nina nyumba ya kupangisha - lakini usumbufu ninaopata kukusanya kodi, na pia fedha ipatikanayo - nikipata mteja nitauza hiyo nyumba na kuweka fedha zote utt (au Treasury bonds za muda mrefu zikipatikana).
Uza tu mkuu wala hautajutia.
Unajua ndio maana wahindi wengi hawajengi. Sio kwamba wanaogopa ila wanajua hasara ya kuweka pesa chini isiyozalisha, Imagine mtu ana nyumba ya 200m lakini napata shida na ada ya mtoto ya sh 4m wakati pesa aliyoweka chini anaweza kupata 20m kwa mwaka. Usishangae wahindi kwa biashara ndogo tu watoto wanasoma shule za maana, hata nje ya nchi.
 
Uza tu mkuu wala hautajutia.
Unajua ndio maana wahindi wengi hawajengi. Sio kwamba wanaogopa ila wanajua hasara ya kuweka pesa chini isiyozalisha, Imagine mtu ana nyumba ya 200m lakini napata shida na ada ya mtoto ya sh 4m wakati pesa aliyoweka chini anaweza kupata 20m kwa mwaka. Usishangae wahindi kwa biashara ndogo tu watoto wanasoma shule za maana, hata nje ya nchi.
Umesema vyema mkuu. Hii kitu inakupa fedha ya kuendesha maisha na nafasi ya kufanya mambo mengine pia kwa utulivu kabisa.
 
Back
Top Bottom