Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,605
- 59,479
Mtangazaji mahili wa soccer hapa nchini bwana Oscar Oscar, eweka wazi kwamba kitu wanachoweza yanga ni uchawi na ushirikina.
Ikumbukwe kuwa akina mzee Mpili walijaribu kuiroga simba lakini hawakufua dafu.
Tuseme kwa sasa maruhani kutoka warabuni yameingizwa!? Maana tunajua wenzetu kwa ushirikina na ulozi hawajambo. Je, ni ya kweli yanayosemwa kwenye mitandao!? Eti ni kweli kocha anatumia maruhani, kwamba kwenye nchi za kiarabu ameshindwa kutokana na kwamba wote wanayajua!?
Mimi yangu hayo machache nimeyasikia kwenye mitandao.