Wanaume wanampenda kitchen Party ni hatari sana.Unakutana na rafiki yako mnakwenda kwenye kitchen party. Kwakuwa wewe ndiye best man. Unamuona bibi harusi kwa mara ya kwanza lakini sura yake si ngeni. Unakumbuka mlikutana kwenye hoteli uliyofikia. Kumbe bibie alikwenda kuagana na mpenzi wake wa zamani. Uliwaons kwenye corridor wakiwa kwenye mahaba mazito.
Ukiwa kama mwanaume utachukua uamuzi gani hapa?
Kuna rafiki yangu alijua HIV status ya bibi harusi one day before marriage! Unajua kilichoendeleaNdiye atakae kuwa best man kanisani, amekusindikiza kwenye kitchen party pia.
Endelea maana hatujui hatukuwepo bnaKuna rafiki yangu alijua HIV status ya bibi harusi one day before marriage! Unajua kilichoendelea
Waliendelea na harusiEndelea maana hatujui hatukuwepo bna
Hapana ni kuwa hata bibi harusi hakujua. Ila waliamua kuendelea na harusi kwa vile hata send-off ilishafanyika alhamisi na ilikuwa ijumaa majibu yalipotolewa. Maisha !!!Alisema? Lakini bibie alikua mchawi, mtu unaeenda kushirikiana nae kwa shida na raha humfichi status
Wanagegedana humo ndani kweli?Hapana ni kuwa hata bibi harusi hakujua. Ila waliamua kuendelea na harusi kwa vile hata send-off ilishafanyika alhamisi na ilikuwa ijumaa majibu yalipotolewa. Maisha !!!
hapana jamaa yangu yupo negative hadi sasa ingawa bibie tulishamzika siku nyingiNa kuambikizana si ajabu walishaambukizana
Stress. Itakuwa ilimuua maskini.hapana jamaa yangu yupo negative hadi sasa ingawa bibie tulishamzika siku nyingi
No! alikataa kutumia ARV ati dini inakatazaStress. Itakuwa ilimuua maskini.