Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,297
- 33,082
Wapendwa Wakuu
Muundo wa uongozi Tanzania unaelekea kuibua maswali mengi. Pamoja na kuwa tumo ndani ya Muungano bado Watanzania Bara hawana nafasi ya Uongozi huko Zanzibar.
Juzi tumeshuhudia Zanzibar imepata Rais na Makamu wawili wa Rais wote wazanzibar. Je kwanini Wa-bara hakuna hata mmoja huko Zanzibar?
Lakini: Wazinzabar wanatawala Bara, na kuwatungia sheria Wa bara. Tunaona makamo wa Rais Mzanzibar, wabunge wengi tu Wazanzibar; na Mawaziri kadha kutoka Zanzibar watatangazwa hivi karibuni KUJA KUWAONGOZA WA-BARA. ILIHALI HAKUNA HATA WAZIRI MMOJA WA HUKO ZANZIBAR AMBAYE ANATOKA BARA.
Je, kama Tanzania ni moja ni lini Wa-Bara watatawala Zanzibar kama wa Zanzibar wanavyotawala Bara?
Mimi Binafsi napata maswali mengi; ninapoona hakuna hata MBUNGE mmoja Msukuma huko Zanzibar
Tutarajie nini kwa mfumo huu?
Nakaribisha maoni Yenu Asanteni.
Muundo wa uongozi Tanzania unaelekea kuibua maswali mengi. Pamoja na kuwa tumo ndani ya Muungano bado Watanzania Bara hawana nafasi ya Uongozi huko Zanzibar.
Juzi tumeshuhudia Zanzibar imepata Rais na Makamu wawili wa Rais wote wazanzibar. Je kwanini Wa-bara hakuna hata mmoja huko Zanzibar?
Lakini: Wazinzabar wanatawala Bara, na kuwatungia sheria Wa bara. Tunaona makamo wa Rais Mzanzibar, wabunge wengi tu Wazanzibar; na Mawaziri kadha kutoka Zanzibar watatangazwa hivi karibuni KUJA KUWAONGOZA WA-BARA. ILIHALI HAKUNA HATA WAZIRI MMOJA WA HUKO ZANZIBAR AMBAYE ANATOKA BARA.
Je, kama Tanzania ni moja ni lini Wa-Bara watatawala Zanzibar kama wa Zanzibar wanavyotawala Bara?
Mimi Binafsi napata maswali mengi; ninapoona hakuna hata MBUNGE mmoja Msukuma huko Zanzibar
Tutarajie nini kwa mfumo huu?
Nakaribisha maoni Yenu Asanteni.