I LOVE GIRLS
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 857
- 1,320
Nawasalimu wana jf, leo nimekuja na hii dhana ya Ushairi kwa mujibu wa
Sheikh Amri Abed Kaluta:
"shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana"
Je, dhana hii bado ina nafasi katika uga wa sasa wa ushairi ambao umeendele sana?
Karibuni kwa michango.
Sheikh Amri Abed Kaluta:
"shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana"
Je, dhana hii bado ina nafasi katika uga wa sasa wa ushairi ambao umeendele sana?
Karibuni kwa michango.