Je, ni lazima shairi liimbike?

I LOVE GIRLS

JF-Expert Member
Nov 17, 2020
857
1,320
Nawasalimu wana jf, leo nimekuja na hii dhana ya Ushairi kwa mujibu wa

Sheikh Amri Abed Kaluta:
"shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana"

Je, dhana hii bado ina nafasi katika uga wa sasa wa ushairi ambao umeendele sana?

Karibuni kwa michango.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom