Unajifunza lugha gani?
Stage ya kwanza huwa ni kutumia raw tools. Editor, console, git et al. Ukiishajua vinqfqnyq vipi kazi then unaweza kutumia IDE.
IDE inakusaidia liweka kila kitu under one roof.
Kujibu swali lako, ni hapana. Huhitaji kujua kila kitu bali vile tu unahitaji kutumia at that moment. Vongine utaongeza kadri unavyohitaji