Je, ni kweli wenye damu kundi O huwa hawana risk kubwa ya magonjwa ya maambukizi? Hasa ya magonjwa zinaa?

Ha ha ha haaa ha ha haaa
LOh! Umeua Kwakweli
Yaaani Sema Sasa Mimi Nimeoa Unajua Mke Wangu Mrefu Mweupe Afu Mimi Mweusi
Yaani amejaazia na Kajigawa Kisawasawa yaani Mpaka Nikitembea Naye Najikuta Ninazo Hata Kama Sina
Tunawatoto Watatu lakini Naona Bado Kama Ndio kwaaanza Nimemtoa Ukweni Leo Asubuhi Tyuu
sasa Nawaza Ninunue Hata kapaso Kamoja Kwakweli Ili Niwe Namficha Maana Nikaamua Kujiajili Maana kazi Ya Kuajiriwa Nilikuwa nasafiri sana
Nikaona Isiwe Kesi Wacha Nijiajiri mwenyewe Nijilindie Vyangu
Yaani Umenikosha Japo samo fac naona Nikweli Na Zingine ni dondoo Tyuuu
Ngoma imegonga mule mule.....
 
Hapo Kuna uliyoyaandika kama yana kaukweli fulani maana Mimi ni O+ na mengine naweza kataa ati tunapenda sana Ngono???? Ngono ni kawaida tu sex ni muhimu ila kwa kupenda makalio me nakataa pengine tunatofautiana.. ila ukishashikwa na hamu ya kusex for sure huwezi tizama sura labda ujue pale sio hapafai...

Kuhusu Magonjwa kweli me Kuumwa kichwa upande mmoja ndio umepatia haswa... na Mafua yakiuma ni balaa homa hufumuka acha kabisa... kutoka Damu puani ni kweli ila sikudungua kama inasababishwa na Nyama na Maziwa japo Maziwa nilikuwa sipendi sana tokea utoto. Kuumwa Malaria kwa Mwaka naweza nisiumwe au nikaumwa mara moja au mbili tu... Kichwa huuma pale napopunguza kunywa Maji au kuchelewa kula.

Fungus Miguuni huwa natibu sana hadi zinapotea maana Miguu hutokwa na Jasho so kila siku ni kubadilisha soxy na soxy za cotton only

Yaani Mimi uwa silali na chandarua kabisa yaani sipendi kabisa kiujumla Toka mwkaa 2005 ndio niiumwa maleria nikiwa nahamia wilayani kyela kule ziwa nyasa
toka hapo sijawahi umwa kabisa maleria hapa dar nipo mwaka wa 12 sasa ila naona maleria hata sina mpango nayo
kuumwa niliwahi umwa kama mara mbili tumbo la kuhara weeeeeeeee
nashukuru Mungu nilikuwa nabakia peke angu nyumbani:):):):)
 
Yaani Mimi uwa silali na chandarua kabisa yaani sipendi kabisa kiujumla Toka mwkaa 2005 ndio niiumwa maleria nikiwa nahamia wilayani kyela kule ziwa nyasa
toka hapo sijawahi umwa kabisa maleria hapa dar nipo mwaka wa 12 sasa ila naona maleria hata sina mpango nayo
kuumwa niliwahi umwa kama mara mbili tumbo la kuhara weeeeeeeee
nashukuru Mungu nilikuwa nabakia peke angu nyumbani:):):):)
Duhh....
Hatari sana...
 
Yaani Mimi uwa silali na chandarua kabisa yaani sipendi kabisa kiujumla Toka mwkaa 2005 ndio niiumwa maleria nikiwa nahamia wilayani kyela kule ziwa nyasa
toka hapo sijawahi umwa kabisa maleria hapa dar nipo mwaka wa 12 sasa ila naona maleria hata sina mpango nayo
kuumwa niliwahi umwa kama mara mbili tumbo la kuhara weeeeeeeee
nashukuru Mungu nilikuwa nabakia peke angu nyumbani:):):):)
Malaria zilipokuwa mdogo nilikuwa naugua kila baada ya miaka mitatu nikawa nakua ikawa inashuka miwili mitatu ikaja hadi mwaka kwa mwaka now hunitokea twice a year Maeneo niliyoishi haswa Upanga kulikuwa na Mbu sana yaani nag'atwa tatizo ngozi yangu huvimba na nikiikuna basi kipele sometimes hugeuka kidonda japo kinapona haraka ila kinaacha kovu ndio tatizo kuu langu kukuna siachi niking'atwa mbu
 
Habari wana jamii wenzangu,

Naomba kujua juu ya tetesi hizi ninazozisikia sana mitaani kuwa wale ambao wanakuwa na Group O katika makundi ya damu huwa hawana risk ya kubwa ya kupata magonjwa hasa yale yanayoenezwa kwa njia ya kujamiana ikiwemo HIV/AIDS. Pia nasikia ni watu ambao huwa wanaumwa mara chache sana tofauti na watu wa magroup ya amu mengine.

Na ukweli wowote unaoujua juu a watu hawa wenye damu Group O.

Naombeni mnijulishe

Nikiri kabisa kwamba jibu ni NDIYO. Binafsi nina hiyo blood Group O na nimeshatembea / nimebanduana na Wanawake Watatu wenye UKIMWI / Dally Kimoko kabisa ambapo wawili nilijua kabisa ila niliamua tu ' Kujilipua / Kujitoa mhanga ' na mmoja sikujua ila baada ya muda wa miezi mitatu nikaenda Kupima zaidi ya Hospitali Nne ( 4 ) tena Kubwa na zinazoaminika kabisa hapa Tanzania ambapo nilipima kwa nyakati tofauti na kote huko majibu yangu yalikuwa ni Negative ( yaani sipigi gitaa la Dally Kimoko / sina UKIMWI )

Sikuishia tu hapo nilienda mbali zaidi ambapo nakumbuka niliwatembelea Madaktari ' Nguli ' kabisa wa hizo Hospitali ambapo niliwaelezea wote hali halisi ( yaliyonikuta ) kwa wale Mademu Watatu niliowabandua / ngonoka nao ' kavukavu / nyama ndani nyama nje ' ndipo wakaniambia nikapime blood group yangu na nilipowaletea majibu wakaniambia kuwa nina bahati sana kwani isingekuwa Mimi kuwa blood group O basi leo huenda nisingekuwa nanyi tena humu JF nikitiririka na kuserereka.

Nakumbuka walichoniambia ni kwamba 99.999% ya Watu wenye blood group O kama ya GENTAMYCINE wao UKIMWI / Dally Kimoko kwao kuwapata ni ngumu sana kutokana na Kinga za asili kabisa ambazo tunazo zilizo ' tishio ' kabisa kwa Virusi vya ' Ngwengwe '.

Ukiachilia mbali hii bahati nyingine iliyopo ni kwamba Mimi pia ni asthmatic na imethibitika na Wataalam wa Afya duniani kuwa 99.99999% ya Watu wenye Ugonjwa wa Pumu ( asthma ) ila iwe ya Kurithi kama Mimi hawawezi kupata Dally Kimoko / UKIMWI hata iweje kutokana na kwamba ile hali ya Pumu huwa inaikera mno wale Virusi wa ' Ngwengwe ' na hukimbia mbali.

Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniumba na blood group O halafu kwa kunipa Ugonjwa wangu huu mzuri japo kuna mda huwa unanitesa wa Pumu ila ni bora niteseke na Pumu kuliko kulikung'uta vilivyo gitaa la Dally Kimoko halafu ikaja kuwa balaa hapa duniani.

Nawaomba sana wote wenye blood group O na wenye tatizo la Pumu ( asthma ) popote mlipo anzeni kushangilia na jipongezeni kwani nyie kupata ' Ngwengwe ' ni ngumu sana hata iweje. Na kama haitoshi Watu wenye blood group O na Pumu wengi wao huwa ' wamebarikiwa ' sana na Mwenyezi Mungu kwani Mungu huwakinga hivyo mapema kwakuwa kuna Kazi zake ambazo anataka kuzifanya hapa duniani hivyo atawatumia wao. Hata Philanthropists wengi sana duniani, Viongozi wazuri wa Dini, Watu wema na wacha Mungu wa Kweli kabisa na waliotukuka wana damu ya group O na tatizo la Pumu. Ni vipenzi sana wa ' Maulana / Allah '.
 
ama kweli ashukuruwe aliye umba mpaka magroup ya damu hakika nimekaa nikawaza mno faida za haya magroup katika kundeleza uhai wa viumbe hapa duniani..

kwa hakika katika kila blood groups kuna faida zao na hasara zao...

kuna mkuu katoa sifa za hayo magrupu hebu atupe sifa za makundi yaliyo baki tujue ..wengie tuna tafuta wake huku ila kigezo lazima tuangalie na makundi aliyo nayo .. unaweza sikia kuwa kundi A ni weupe, na O ni weusi
 
Ni kweli wenye group o+ in ngumu kupata maambikizi yaHIV nami mmoja wapo,nimesha wagonga mademu wenye HIV bila kujua zaidi ya watatu sijapata ngoma.lakini kabla ya kupima nilikua najua nimesha ukwaa.mademu wawili wameshatangulia.mungu awapumzishe kwa Aman.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe tulioponea ' chupu chupu ' na Gitaa la Dally Kimoko tupo wengi!
 
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).


Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO

Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.

Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA

Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI

Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.

Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.

Na Mwangaza Blog
Umeongea ukweli mwingi... ila mbona mie sio sex addict
 
Umeongea ukweli mwingi... ila mbona mie sio sex addict

Unajua Hako Kamchezo ni Ka Kawaida Katika Jamiii So Mwingine Ndio Akiwa anakuona ndiye rahisi Sana Kukuambia
Kwamba hako Kamchezo Unakapenda Sana Au lah
 
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).


Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.

1.WENGI NI WAPENDA NGONO

Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.

Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.

2.NI WASEMAJI SANA

Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.

3.NI WATOAJI WAZURI

Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.

4.MARADHI.

Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.

5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.

6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.

ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.

Na Mwangaza Blog
Mkuu, Mimi nipo kwenye grupu hili la damu. Mengi uliyoyataja ni nayo isipokua Mimi sio muongeaji sana. Japo huwa naongea.
 
Back
Top Bottom