KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Habari wana jamii wenzangu,
Naomba kujua juu ya tetesi hizi ninazozisikia sana mitaani kuwa wale ambao wanakuwa na Group O katika makundi ya damu huwa hawana risk ya kubwa ya kupata magonjwa hasa yale yanayoenezwa kwa njia ya kujamiana ikiwemo HIV/AIDS. Pia nasikia ni watu ambao huwa wanaumwa mara chache sana tofauti na watu wa magroup ya amu mengine.
Na ukweli wowote unaoujua juu a watu hawa wenye damu Group O.
Naombeni mnijulishe.
MICHANGO ILIYOTOLEWA NA WADAU
Naomba kujua juu ya tetesi hizi ninazozisikia sana mitaani kuwa wale ambao wanakuwa na Group O katika makundi ya damu huwa hawana risk ya kubwa ya kupata magonjwa hasa yale yanayoenezwa kwa njia ya kujamiana ikiwemo HIV/AIDS. Pia nasikia ni watu ambao huwa wanaumwa mara chache sana tofauti na watu wa magroup ya amu mengine.
Na ukweli wowote unaoujua juu a watu hawa wenye damu Group O.
Naombeni mnijulishe.
MICHANGO ILIYOTOLEWA NA WADAU
Damu kundi "O" limegawanyika katika makundi mawili ambayo ni "O" Negative(Hasi) na "O" Positive (Chanya).
Katika kundi hilo wenye kundi Chanya wana Tabia nyingi sana amabzo weyewe hawajijui kama tabia hizo ni asili ya damu kudi hilo.
1.WENGI NI WAPENDA NGONO
Asilimia kubwa ya watu wenye kundi hili la damu wanapenda sana ngono kuliko kitu kingine,haswa wanaume wenye damu kundi hili wanapenda wanawake wenye makalio makubwa, wao hawaangalii sura,ili mwanamke amaye amejazia nyuma ndio wanavutiwa zaidi.
Kwa wanawake wenye damu kundi hili pia nao wanapenda sana mchezo huu,wana mvuto wa kupendwa nna wanaume.
2.NI WASEMAJI SANA
Asilimia kubwa ya watu wenye damu kundi hili wanapenda sana kusema(ni wachangamfu) haswa katika jamii ya watu.
3.NI WATOAJI WAZURI
Wengi wa watu wenye kundi hili wana moyo wa kutoa kuliko kupokea,huwa hawapendi wenzao wapate shida ila wengi wana asili ya kuutangaza msaada wao ukiwaudhi.
4.MARADHI.
Maradhi makubwa yanayowasumbua ni malaria,kichwa kuuma upande mmoja(kipanda uso),mafua au kutoka damu za pua haswa wanapokula nyama,maziwa.
5.NGIRI
Kwa wanaume wenye damu kundi hili asilimia kubwa wana maradhi ya tumbo kujaa gesi haswa wanapokula baadhi ya vyakula haswa chipsi.
6.WANAFANANA NA WATOTO WAO
Wengi wakizaa huwa wanafanana sana na watoto wao iwe sura,tabia au mwendo na mara nyingi katika maisha yao huishi au kuzaa na mpenzi zaidi ya mmoja.
ALAMA ZAO
Alama kubwa za watu wenye damu kundi hili ni kuwasha na masikio kwa ndani,fangasi za vidole vya miguu kwa wanaume na kwa wanawake vidole vya mikono haswa wakifua,pua kuwasha kwa ndani.
Na Mwangaza Blog