Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Utakubalije kutekwa kiakili na mzungu ? Waĺikuja Afrika na kutudanganya na dini zao , ni kwa nini na wewe mwafrika usingeenda kwao na kuwadanganya ? Na kama ulivumbua kitu ulishidwaje kutetea hoja yako ? Wametuzidï !!! Ulïpoambiwa Yesu alifufuka huko kwao si ulikubali bila kuhoji ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app