Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,138
- 22,504
Wakuu
Kwa muda mrefu nimeskia haya juu ya wasanii wa hao ndugu zetu Congo. Madai na Story zimekuwa nyingi sana. Kwamba jamaa huwa wanaamini bila uchawi muziki hauwezi kutusua. Na wanauamini sana.
Niliwahi sikia Story kwa vijana wa kizamani walinisimulia kuwa, pepe kale alikuwa ana jeneza lake kwenye chumba maalumu nyumbani kwake, pale atapokuwa ana Show Week moja kabla anaingia humo na kukaa kwa muda fulani then anaenda kwenye Show, humo hatakiwi kuingia mtu
Sasa siku moja mama yake na pepe kale alipita kumsalimia mwanae na binti wa kazi akamuelekeza kwenye chumba hicho na mama hakujua chochote kuhusu masharti na kupeleka pepe kufariki.
Pis bwana jean dieu makiese aka madilu system naye pia naskia kilichomuua ni uchawi uliopitiliza. Wakubwa na vijana wa kale mje kutusahisha mayanki.
Majuzi tu innos b alikuwa analalmika kuwa fally ipupa anamroga na anaroga wenzie.
Hivyo basi tujue mbivu na mbichi hapa hapa
Kwa muda mrefu nimeskia haya juu ya wasanii wa hao ndugu zetu Congo. Madai na Story zimekuwa nyingi sana. Kwamba jamaa huwa wanaamini bila uchawi muziki hauwezi kutusua. Na wanauamini sana.
Niliwahi sikia Story kwa vijana wa kizamani walinisimulia kuwa, pepe kale alikuwa ana jeneza lake kwenye chumba maalumu nyumbani kwake, pale atapokuwa ana Show Week moja kabla anaingia humo na kukaa kwa muda fulani then anaenda kwenye Show, humo hatakiwi kuingia mtu
Sasa siku moja mama yake na pepe kale alipita kumsalimia mwanae na binti wa kazi akamuelekeza kwenye chumba hicho na mama hakujua chochote kuhusu masharti na kupeleka pepe kufariki.
Pis bwana jean dieu makiese aka madilu system naye pia naskia kilichomuua ni uchawi uliopitiliza. Wakubwa na vijana wa kale mje kutusahisha mayanki.
Majuzi tu innos b alikuwa analalmika kuwa fally ipupa anamroga na anaroga wenzie.
Hivyo basi tujue mbivu na mbichi hapa hapa