Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi wakuu,
Nimekuta hapa kijiweni kuna mzozo mkali sana vijana wakidai kuwa sheria ya uhujumu uchumi ilipitishwa na vyama vya upinzan ili kuwakomoa mafisadi akina chenge
Lakin mimi sijataka kuamini, ila nikaona isiwe kesi ngoja niibuke jamiiforum watakuwa na majibu mazuri zaidi.
Asanten naomba kujua
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuta hapa kijiweni kuna mzozo mkali sana vijana wakidai kuwa sheria ya uhujumu uchumi ilipitishwa na vyama vya upinzan ili kuwakomoa mafisadi akina chenge
Lakin mimi sijataka kuamini, ila nikaona isiwe kesi ngoja niibuke jamiiforum watakuwa na majibu mazuri zaidi.
Asanten naomba kujua
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app