Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Nikisoma gazeti huku mitaani nyuma yangu nahisi mtu akipumua kwa kuhema nageuka namuona ni askari polisi anasema sorry nadhani aligundua kuwa alihema sana akanishitua. Kisha kwa kuwa sote tulikuwa tunasoma topiki moja anasema "Hawa vijana watakwisha kwani hata huyu alijiload mzigo ukapasukia tumboni, na alitumwa na mtoto wa kigogo mkubwa sana" Niliishia kushangaa nikatoweka eneo hilo.
Swali: Hivi ni kweli marehemu huyu alikuwa amejiload mzigo kweli???
Swali: Hivi ni kweli marehemu huyu alikuwa amejiload mzigo kweli???